Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Kilimo cha miwa bagamoyo

Sasa kufutwa kwa huo mkataba na kukamata ndege vina uhusiano gani?

Wakija na wale wachina wa gesi si tutauzwa tu, Ndungai was more clever
 

Attachments

  • 20221202_075931.jpg
    120.1 KB · Views: 7
Shamba lilichukuliwa kimabavu na JPM then umlaumu JK ? Acha kutafuta mchawi kila mara

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
We kinyesi...mbona wazungu walichukua kimabavu africa na kuua sana babu zetu awajashitakiwa ...unajua kama ni haki basi tungelipwa ma bilioni ya dola tena kila mwaka kama fidia
 
Hahaaaa!!!ucngeacha kuonesha chuki zaki dhahiri,ktk marais waliokuwa mafisadi nchi hii huwez kumuacha yule che nkapa
Viongozi haramu na wasio wazalendo wana sifa moja ya kuingiza familia zao kwenye siasa na uongozi tena wao wakiwa bado wapo madarakani hufanya hivyo kupita kiasi sasa tazama hao waisiharamu wote kisha tazama Nyerere ,Mkapa na Jpm
 
Enzi za Magufuli wakina Lissu walikuwa wanafurahia hizi news, sahivi wako kimya
Enzi za Magufuli kina Lissu walikuwa wanaonya dhidi ya tabia ya kuchukua Mali za wawekezaji bila kufuata Sheria. Walikuwa wanaonya kwamba tutapelekwa kwenye koti za kimataifa (ambazo tume sign wenyewe) na kushtakiwa. Tutashindwa na kulitia Taifa hasara. Ndio Haya yanatokea!
 
Sio ile kampuni ya bandarini?
Hapana. Ni Kampuni ya Sweden iliyokuwa imeanzisha mradi wa kuzalisha Sukari Bagamoyo. Wangezalisha pia Umeme kutumia Mabaki ya miwa. BAHATI MBAYA tukawanyang'anya bshamba baadae ya kuwa wameshawekeza kwa miaka 10; tukampa Bakhressa! Wakaenda mahakamani kulalamika. Matokeo ndio Haya.
 
Unajua wenzetu wanajua kucheza na maandishi (mikataba) mkataba wenye ukubwa wake sawa na BIBLE, wanajua kwa ulemavu wetu wa kufikiri...100% hatutausoma tukaumaliza.... habari ndo hiyo...
 
Unajua wenzetu wanajua kucheza na maandishi (mikataba) mkataba wenye ukubwa wake sawa na BIBLE, wanajua kwa ulemavu wetu wa kufikiri...100% hatutausoma tukaumaliza.... habari ndo hiyo...
Upo sahihi. Lakini hii ndio tunaita 'stable business environment ' . Itakuwa ngumu Nchi kuaminiwa na wawekezaji wakubwa kama Mkuu anaweza kuibuka siku Moja na kusema nimekunyang'anya eneo lako la uwekezaji!. Huku akijua ni ni kinyume Cha Sheria. Tabia za kutokujali na kuheshimu taratibu
 
Tulinganishe bei ya ndege na ilo deni alafu kama vip tuwaachie tu wabaki nayo...
 
Jiwe ndiyo ali sign hiyo mikataba ya Kifisadi!? Au Jiwe ndiyo alikua anajaribu kupambana na hiyo Mikataba yenu ya Kifisadi mliongia Kama vile hakuna kesho tena!!??
Alikuwa mtu asiyetumia akili ndiyo manaa Corona ikasepa naye
 
Laiti JPM angekuwa hai leo naamini angeongea jambo kuhusu haya yanayotokea sasa. Haya naombeni hili nalo mkalitizame!
Angeongea then what?..

Unavunja mikataba hovyohovyo ukitegemea watu wapotezee tu hasara zao?.
 
Alikuwa mtu asiyetumia akili ndiyo manaa Corona ikasepa naye
Kifo ni kifo tu,hata wwe siku ukifa kuna Watu watajaribu kutuambia sababu ya kifo chako,lakini ukweli utakua nao wwe Marehemu huko kaburini,Mimi huwa napenda kujadili Mambo kiuhalisia zaidi kuliko kinadharia!!!
 
Angeongea then what?..

Unavunja mikataba hovyohovyo ukitegemea watu wapotezee tu hasara zao?.
Mikataba ya kipumbavu lazima ivunjwe kwa gharama yoyote ile haijalishi Nani kai sign!! Tanzania ni ya wote!!!
 
Aliye sign mikataba ya kiunyonyaji ndiyo katuhujumu,lakini siyo mwisho lazima tupambane nayo ili tutoke kwenye mitego yao!!!
Mikataba inasainiwa na (rais)m/kiti wa CCM tena gizani. Hapa kupambana ni kuiondoa CCM tu
 
Kifo ni kifo tu,hata wwe siku ukifa kuna Watu watajaribu kutuambia sababu ya kifo chako,lakini ukweli utakua nao wwe Marehemu huko kaburini,Mimi huwa napenda kujadili Mambo kiuhalisia zaidi kuliko kinadharia!!!
Uko sahihi lakini Jiwe hakuwa mtu mwenye utimamu.
 
Jiwe ndiyo ali sign hiyo mikataba ya Kifisadi!? Au Jiwe ndiyo alikua anajaribu kupambana na hiyo Mikataba yenu ya Kifisadi mliongia Kama vile hakuna kesho tena!!??
So unaamini Jiwe alikuwa na akili kuliko wewe?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…