Ndege ya Tanzania yakamatwa nje, Taifa ladaiwa bilioni 380 kwa kuvunja mkataba bila utaratibu

Lisu si amesomeshwa kwa kodi za watanzania aje aonyeshe uanasheria wake sasa aikomboe ndege.

Lakini ninanvyojua atakuwa anashangilia sana huko aliko kwamba li ndege la Samia limekomeshwa


Wakati wa Magufuli na Kabudi zilikamatwa nyingi na zikaachiwa na kuendelea kupiga kazi.

Sasa hivi tunaambiwa nchi imefunguliwa na mahusiano ya kidiplomasia ni mazuri mno alafu ndege inakamatwa
 
Yote yawezekana chini ya jua never say never. Its the reason DR Congo will remain poor for millenia to come sababu tu mabeberu wana maslahi nayo.
 
Hayo ni matokeo ya viongozi wasio wazalendo ..hasa hasa kikwete hayo madeni ni madeni ya kifisadi na mikataba ya kifisadi ....yani kikwete alikuwa anafanya ufisadi endelevu wa kimikataba, hata akija rais mpya lazima ule mkataba ama uvunjwe kisha tuchavushe deni la kifisadi au tuendelee nao tupigwe kifisadi.
Huu ndiyo mchezo wahuni wa ccm wamekuwa wanafanya ...ni aina ya mikataba yenye pembe mbili
A) Ukiufuata mkataba basi Nchi inakuwa inapigwa kifisadi
B) na Ukiuvunja basi unadaiwa kulipa fidia ya kifisadi.
Mfano ya kikataba hiyo ni mkataba wa BANDARI YA BAGAMOYO.AMBAO MUHUNI MKWERE alitaka kulidumbukiza taifa
HAYA YOTE YANALETWA NA MARAIS WAISIHARAMU
 
Kama imekamatwa kwa kudaiwa basi deni lilipwe .

Tumekuwa tukiambiwa shirika linajiendesha kihasara ila watu wakawa wanaleta ushabiki wa kisiasa uliozalishwa awamu ya 5 na magawio feki ili kumfurahisha mtu .
 
Usimlaumu Salary Slip kwa uandishi wake kwa kuwa hiyo ilikuwa ndiyo sentensi ya Magufuli kila akikosa reasoning ya UJINGA wake kwenye decision making. Ni sarcasm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…