peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hali ya hewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko na speed sana boss. Tulia leta taarifa inayo eleweka!!Hali ya hewa !
Mkuu Hujui nilikoUko na speed sana boss. Tulia leta taarifa inayo eleweka!!
Hatuna uwanja unaitwa Dar international airport.... bali Julius Nyerere International Airport!
Umenielewa sasaHatuna uwanja unaitwa Dar international airport.... bali Julius Nyerere International Airport!
So mmenda kutua wapi?
Kwahiyo ulikuwa hajaelewa!Hatuna uwanja unaitwa Dar international airport.... bali Julius Nyerere International Airport!
hawa marubani wa VETA ni shida sana, sasa kweli hio ni hali ya kufanya kushindwa kutua??? Je kungekua na snow inadondoka si asingerusha kabisa hio ndege..
veta tena😎hawa marubani wa VETA ni shida sana, sasa kweli hio ni hali ya kufanya kushindwa kutua??? Je kungekua na snow inadondoka si asingerusha kabisa hio ndege..
Wabongo tunajua kila kitu hata kama hujasomea. Ili mradi uwe na pesa ya kubadili mboga.hawa marubani wa VETA ni shida sana, sasa kweli hio ni hali ya kufanya kushindwa kutua??? Je kungekua na snow inadondoka si asingerusha kabisa hio ndege..
Active runway status ikiwa inateleza kwa hiyo Boing ni issue,Amechukua hatua sahihi kwa utulivu kabisa.hawa marubani wa VETA ni shida sana, sasa kweli hio ni hali ya kufanya kushindwa kutua??? Je kungekua na snow inadondoka si asingerusha kabisa hio ndege..
Kuna abiria ameguna hapo mhh
[emoji1787][emoji1787]Kifo sio poa