Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
🤣🤣 Mbona sijaonaHujaona jirani yake alieanza kujamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Mbona sijaonaHujaona jirani yake alieanza kujamba
Ikitokea ajali ndio mnaanza kulaumu. Bongo hata ufanye nini utalaumiwa tu.kuna hali gani mbaya hapo ya hewa sasa.
anyway muende Zenji faster hapo hatuhitaji yale ya Bukoba na kuanza kutengeneza sinema tena.
Kwamba nawe ulikua ndani ya ndege
Watu mpo attentive to details 🤣🤣🤣🤣Kuna abiria ameguna hapo mhh
🤣🤣Kifo sio poa
Lazma tupee attention 😂😂Watu mpo attentive to details 🤣🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆😆 hata mimi nipo hivyo mkuu, details zinafichua mengi sanaLazma tupee attention 😂😂
Kabisa kabisa, ila Kuna mtu kasema amesikia mmoja wa abiria amejamba😂😂 nimeirudia mara Tano sijasikia iyo sauti😆😆😆😆😆😆 hata mimi nipo hivyo mkuu, details zinafichua mengi sana
Ficha huo ujinga basi?hawa marubani wa VETA ni shida sana, sasa kweli hio ni hali ya kufanya kushindwa kutua??? Je kungekua na snow inadondoka si asingerusha kabisa hio ndege..
Kama mpaka leo tunashangaa mtu kupanda ndege basi tujitathmini maendeleo yetu kama taifa.Jambo la kwaida.
Sema ulitaka tujue kwamba umepanda ndege [emoji28]
Marubani wa ukweli wanatua JFK, HEATHROW, SCHIPOL, etc. kukiwa na snow inadondoka na upepo mkali sana, sasa hapo Dar joto 38C + hali mbaya ya hewa inatoka wapi??? Tatizo marubani wa VETA wamekariri ya Bukoba 🤣 🤣 🤣Ficha huo ujinga basi?
Huu sio utelezi wa kijijini kwenu mvua ikinyesha.
Acha dharau ndugu yangu VETA imeingiaje hapa heahimu tasisi nadhani ungetoa mifano isyo na dhihaka usinge pingukiwa kitu una manisha walio soma veta awajielewi kwa nini usitoe mfano wa vyuo wanapo jinfunzia kuendesha ndegehawa marubani wa VETA ni shida sana, sasa kweli hio ni hali ya kufanya kushindwa kutua??? Je kungekua na snow inadondoka si asingerusha kabisa hio ndege..