Ndege za arabuni zimetua Loliondo Ngorongoro

Ndege za arabuni zimetua Loliondo Ngorongoro

Inatia hasira sana yan mtu ukiipigia kura ccm lazima utakua mento
Mkuu.. hiyo FREE MARKET "biashara ni maridhiano kati ya muuzaji twiga/fisi na mnunuaji awe mdhungu/mAsia.....
Hilo pipa C-130 la 65m $ haliwezi tuwa bila kukaribishwa ofisho !!! Preta Kibo10
 
Last edited by a moderator:
ila mbona naona dalili za fotoshop, kuna picha mbili hapo zimafanana kila kitu hadi move za watu moja ina twiga nyingine haina

unaakkili nyingi mkuu. kula tano. kwa akili hiyohiyo mpe na lowassa tuiangushe ccm
 
12027729_543411559156855_1642267392111989442_n.jpg
 
Hizo picha ya tatu na ya nne hao watu waligandishwa then ikaja cruiser 70 na twiga wao au hizo posture za hao watu ni picha duka za mnato??!!!
 
Inaniuma Kwa sababu hata watoto Wangu sidhani watakuwepo ndani ya miaka 100 hiyo mpaka mkataba kuisha
 
Ni photo shop 100%.Bahati mbaya kuna watu wameamini hizo picha. Hii ina nipa wasiwasi wa credibilty ya topic nzima

Photoshop ni hiyo ambayo kuna twiga anapandishwa.

Ila the rest ni ukweli.
 
Huyo twiga photo shop angalia picha mbili za chini inamaana mpaka twiga analetwa watu wako kwenye pose ile ile
 
Sawa. Kwanini kutumia photoshop kwa issue ya muhimu kama hii? Haikuhitaji photoshop! Nini lengo la mwandishi???
Sipingi kuwepo kwa tukio la kutorosha twiga kwani lilifika hadi bungeni na lilipata coverage ya kutosha kwenye media. Photoshop imebore na kuharibu credibility ya hoja aliyotaka kujenga. Kwanini achanganye na uongo ndani??:A S angry:
 
Back
Top Bottom