Mashirika kadhaa ya ndege yameathirika pakubwa kwa ukosefu wa internet. Kwenye Uwanja wa JNIA, KIA na Zanzibar ndege kama Emirates, Fly Dubai, KLM, Swiss na Air France zililazimika kuchelewa masaa zaidi ya 4 kutokana na kukosekana na internet. (Ndege kama Kenya Airways na Ethiopian wao walitumia manual system kuendelea na kazi).
NB: Waandishi wa habari TZ hutawasikia wanaandika hili. Wao ni mwendo wa kusifia kama mazombi.
NB: Waandishi wa habari TZ hutawasikia wanaandika hili. Wao ni mwendo wa kusifia kama mazombi.