Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Shauri yako!Kwa uhuni unaoufanya hapa jamii forum ntampigia simu Ummy Mwalimu au Waziri mkuu na kukuripot kuwa una Korona virus na unataka kuja kuisambaza hapa jamii forum...
Kuna moja Sugu anaiviziaSerikali ina kesi mahakama za kibiashara kutokana na mikataba iliyovunja na makampuni mbalimbali, mpaka hili liwe sawa ndio ndege zinaweza kuanza safari za Kimataifa kwenye nchi zilizo huru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaaa,. Na za kwetu zinafanya Nini Sasa. !!!!!Kwnye twitter Ethiopia Airlines wamesema kuwa wameidhinishwa kupeleka matunda na mboga mboga huko ulaya kutokea tanzania
Wangepaki chatto pale mpaka hali iwe nzuri. Pale Kuna ulinzi wa kutoshaMandege yetu no useless hayana vibali
Usafiri wa ndege siyo sawa na wa barabara ambapo Musukuma Bus Service toka Geita na abiria mmoja na kufika Chato limejaa abiria, mbuzi, kuku, samaki n.k. na kurudi likisanya shehena mbalimbali hivyohivyo. Watu walihoji busara ya kupeleka mbuzi tani 3 Dubai na kurudi na hostages tu bila hata ngamia mmoja. Utapeleka ndege Ubelgiji na tani 20 za mbogamboga na kurudi na Coronavirus pekee italeta faida kwa Shirika na nchi? Watu hawakupinga kununuliwa ndege, wengi tulihoji busara ya Rais kununua hizo ndege kwa niaba ya ATCL wenyewe wanaozihitaji. Wengi wanamkumbuka Mwingira Waziri aliyeleta zile ndege mbili za kukodi toka Lebanon ambazo hazikuruka tena baada ya kuwasili. Mwingira alitumbuliwa kwa kutia hasara Serkali, kwa hili nani atumbuliwe ndege na mbawa zao haziruki?Hivi majuzi Kenya walionekana wakisafirisha mbogamboga na matunda kuelekea kwenye masoko ya Ulaya kwa kubadili matumizi ya ndege za aboria kuweza kubeba mizigo kufuatia upungufu wa abiria.
Hatua ya kupata masoko hayo imekuja baada ya mataifa mengi kusimamisha shughuli kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa Corona COVID-19.
Hapa nyumbani napo hatukubaki nyuma baada ya Naibu waziri Hussein Bashe kupost picha ya Waziri Wa Kilimo Japhet Hasunga akiwa kwenye ndege akipakia mizigo. Na tani 37 za mazao zikisafirishwa kwenga Ubeligiji.
Jana shirika la ndege la Ethiopia limeweka taarifa ya kupata tenda ya kusafirisha mazao kutoka Tanzania kuelekea nchi za Ulaya.
Swali la msingi ni je ndege zetu tulizogharamikia mabillioni ya shilingi ziko wapi?
Ni mbovu? Hazina vibali? Au ni kukosa maarifa kwa viongozi?
Je, huu sio wakati muafaka wa ndege zetu kufanya kazi ya kuitambulisha nchi katika safari za anga?
Waliokuwa wanapinga mradi wa ndege je serikali inachochote cha kujitetea baada ya aibu hii?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hazina vibali vya kwenda ulaya
Unafikiri ndege ni kama bajaji unakwenda tu popote bila kibali cha kimataifa?
Mandege yetu no useless hayana vibali
Biashara ya mbogamboga ni mikataba nafikiri
Kenya ni lazima walete Ulaya kwa sababu ni biashara ya muda mrefu na inahitajika
Hatuwezi kujua wanalipanaje kwa sasa kama ni kati ya serikali ya [emoji636] na wafanyabiashara hatujui ila ni lazima tupate nyanya jamani
Tukipakia holela yataishia kwenye skip
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mengine sio muhimu kwa sasa tupambane na corona kwanza
Jr[emoji769]
Ishu sio biashara maana mazao yetu mbona yanapelekwa na ethiopia airways
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unadhani unaongea na kijana mdogo sio?Tai tena? Nimeuliza tu, umemaliza? Nisamehe sana, mi sina ujanja wowote ule, hata hio tai ilikua 2010 sijajua ni juzi IPI hio unayosema. Tumalizie kama una lingine. La tai limeisha
Kwa lugha yako ni kama hicho kibali ni ghali kuliko ndege yenyeweUnafikiri ndege ni kama bajaji unakwenda tu popote bila kibali cha kimataifa?
Nimekuweka kiporo! Ukiendelea itakua zamu yako!Unadhani unaongea na kijana mdogo sio?
Kiporo kitachacha.Nimekuweka kiporo!...