Ndegele ngoma mpya ya Rich Mavoko ni sumu moja hatari sana

Diamond na Lavalava watasubiri sana mwaka huu.
 
hakuna wimbo hapo akalime mpunga tu kwao morogoro muziki ushamshinda
 

Mtoto wa mama richad kaachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ngedele hii ngoma ni sumu moja mbay sana

Ninachojiuliza kwanin mavoko hapo awali hakuwahi kutoa ngoma kali kama hii why soo

London boy

Sent using Jamii Forums mobile app
Amekuwa mzee kweli mziki mgumu sana yaani wiki 2 tu mtu kazeeka na wimbo wenyewe kama alirekodi akiwa anakunya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…