Jembekillo iv upo mzaziWimbo mzuri akaze buti mtoto wa kimamba kilosa
Duuuh watu mna mitizamo tofauti
Absolutely mkuuWimbo kama kaimba underground mgeni wa studio? Mashairi ya kitoto toto sasa anatofauti gani na abdu kiba au best naso
Amekuwa mzee kweli mziki mgumu sana yaani wiki 2 tu mtu kazeeka na wimbo wenyewe kama alirekodi akiwa anakunya
Mtoto wa mama richad kaachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la ngedele hii ngoma ni sumu moja mbay sana
Ninachojiuliza kwanin mavoko hapo awali hakuwahi kutoa ngoma kali kama hii why soo
London boy
Sent using Jamii Forums mobile app