Ndevu zimegoma kuota


Una homoni chache za testosterone.
 
Wewe!! narudia tena wee!!! shikashika chini kwako hapo, uone km oombo!! bado ipo! Make inawezekana kadiri unavokuwa maumbile ya kiume yanapotelea!! na ile jinsia pendwa inajitokeza kwa sana, dushelele! linabadirikaga inakuwa misiki! chunguza uone!

ndo ilivo kwa sisi viumbe wote hata hayawani, km Oestrogen level imetokea iko juu! lazima nyapu ijitokezee Kwa sana! km ni kwa ke Androgens hormones, zikiwa nyingi, ndo utasikia ''jike dume'' limdada linakomaa km semenya!

kwanza nikuulize unajisikiaje unaposikia sauti ya kikoromo? ikiwa karibu yako?, au ukiona picha yangu hapo na hilo likifua la mazoezi hujisikii kukojoa kojoa kwani? km bado huna.....

hujajua tu , itafika mahali ghafla wewe utatupenda kindakindaki sisi wenye Ndevu za juu! hutalala bila kumpa hi! Tata nyarusare, kama mie muongo subiri uone,

angalia sasa inaoanekana hata aibu zimekuishia unaongea na vidume tu humu!! wamesha jua kuwa una kipara kidevuni me tunapendaga kukitafuna kile, hizi ni sifa za wanawake! kwa me ni aibu kubwa ,

ukiona umekosa hata aibu ya kutamka sifa za kike tena hadharani km humu! tayari tunajua kuna mtu unamtaka akichezee hicho kidevu! km mie muongo subirini tu! soon Mtasikia!
 
Umeandika ujinga
 
kawaida nimewahi kuwa na Boyfriend yuko na 29 hana ndevu kabisa .. ila mambo mengine yooote yuko njema tu hana umama hata kidogo, asikutishe mtu km hazioti achana nazo usijitafutie Anxiety disorder .
 
Duuuh....., nafikiri japo uzi mfupi ila hujauelewa.
 
JIONGEZE BROO!! YAANI KWENU WOTE WANA NDEVU ISIPOKUWA WEWE TYU???

HUYO SIYO BABA YAKO .

ANZA KUMUULIZIA KWA WATU AU ANZA HARAKATI ZA KUMTAFUTA.

NB. HUYO CYO BABAKO
 
Umeandika utumbo mkuu.
 
Yaani mvi zimenikwazaaaa hadi nimeamua tu kuziacha zitoke tu.
Ila idea ya kuzeeka naiogopa sana aisee basi tu .
Ule usemi wa 'fainali uzeeni' ujue unatisha sana
Yaani unapiga picha midevu yenye mvi mpaka puani... Bunduki harijojo..kiuno kimekuwa kigumu kama peremende[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nonsense
 
Nimecheka sana.. vumilia na utazichukia mimi nimeota mwiahoni mwa miaka30 na sasahv hata sizitamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…