Ndg Asprin

Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.
Mhhhh? Nina wasiwasi na hii sredi? Ukisoma katikati ya msitari ,its vere vere........
 
Mbona mi sioni hizo busara za huyu babu yenu?
.....Babu yao usijenge chuki kwa kuwa nimesema ukweli!!

Usijali mwita we unga urafiki na babu akugawie mjukuu mmoja, ukiendelea kumpinga akiweka biti utaondoka jf bila kupendwa
 
Huyu babu lazima anaturoga huyu sio bure
Maty...........Babu sio mchawi.......maneno yake ndo uchawi.
Haya, hii ni sababu nyiongine ya kupanda Abood fasta.
 
asee zayoni doota na asprin hapo juu MNATUHARIBIA MUVU YA HII SREDI YETU PENDWA
 
We najua umeharibiwa ubongo wako na Profesa Kondoro.............

Ha ha ha haaa!! babuuuu, umenikumbusha mambo ya BCN, bado unayakumbuka?

Huyo mkulu alijaribu kuivuruga halmashauri ya kichwa yangu lakini akashindwa.

Lakini kiongozi mbona una wajukuu wengi humu, halafu wanakupendaga sana, nini siri ya mafanikio?
 
Hekima za Asprin zimesababishwa na namna alivyoipata elimu yake hapa mkoani mpakani na nchi ya Jauluo Nyeupe tofauti na vijana wa "mtakatifu" st. sijui nini


Lazima uwe mkakamavu, mbunifu wa njia za mkato (kukwepa mafuriko), uwahi namba, madaftari yasilowane na mvua, uchonge sanaa na umuungishe mwalimu mabumunda.
 
Maty...........Babu sio mchawi.......maneno yake ndo uchawi.
Haya, hii ni sababu nyiongine ya kupanda Abood fasta.

Usisahau, Pope Kaizer leo ametupa sababu ya kukutana kwa Eliza!
 
Ha ha ha haaa!! babuuuu, umenikumbusha mambo ya BCN, bado unayakumbuka?

Huyo mkulu alijaribu kuivuruga halmashauri ya kichwa yangu lakini akashindwa.

Lakini kiongozi mbona una wajukuu wengi humu, halafu wanakupendaga sana, nini siri ya mafanikio?

Mi sikumbuki hiyo ila nakumbuka LMM - Last Minutes Method!

hapo kwenye bold, nahisi kama unanionea gere...
 
Usijali mwita we unga urafiki na babu akugawie mjukuu mmoja, ukiendelea kumpinga akiweka biti utaondoka jf bila kupendwa

Huyu babu yenu sio wa kumzoea fasta fasta, bila "kum-scrutiny" unaweza kujikuta unaumbuka.

Nimejaribu kuhesabu haraka haraka wajukuu wake humu ndani nikagundua wako wengi mno, wengine wanamzidi umri lakini wanamuita babu hapo ndo nikastuka.

Afu ujue mi jina langu tu linanifanya nipendwege bure, nikiunga urafiki na babu hatachelewa kuniharibia.
 
Shikamoo Dady? umeamka salama leo.Nakumisi sana yani.
 
Lazima uwe mkakamavu, mbunifu wa njia za mkato (kukwepa mafuriko), uwahi namba, madaftari yasilowane na mvua, uchonge sanaa na umuungishe mwalimu mabumunda.

Good analysis wewe utakuwa mwenzetu wa st. Halmashauri. Hawa wengine hamna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…