Umeona eeeeh bado sana.....kama hajajipanga aiseeShow ya kawaiida ,ukumbi wakawaiida wabongo live band bado sana
Nb. staki mapovu tafadhali
Acha uchawi dogoShow ya kawaiida ,ukumbi wakawaiida wabongo live band bado sana
Nb. staki mapovu tafadhali
Show ya kawaiida ,ukumbi wakawaiida wabongo live band bado sana
Nb. staki mapovu tafadhali
Show ya kawaiida ,ukumbi wakawaiida wabongo live band bado sana
Nb. staki mapovu tafadhali
Jide hana sauti inayotawala yaani kama anajiimbia mwenyewe hakuna direct contact kati ya msanii na hadhiraThe concert is boring kwangu
Kumbe sio Mimi peke yangu nnae ona hivyo....yani uimbaji wake kama mama anaefua au anepika jikoni anajiimbia tu kujichangamsha. My view though msitoke povuJide hana sauti inayotawala yaani kama anajiimbia mwenyewe hakuna direct contact kati ya msanii na hadhira
Sauti iko chini sana sidhani kama watu walioko nyuma wanaenjoyKumbe sio Mimi peke yangu nnae ona hivyo....yani uimbaji wake kama mama anaefua au anepika jikoni anajiimbia tu kujichangamsha. My view though msitoke povu
Ni shiiiidah,nina jamaa zangu wako mlimani wanasema ni hatareee [emoji133] [emoji133] [emoji133]Duuu huyu mdada anajua sana...amepata support kubwa sana...hakika anapendwa!
Huhuuuuuu [emoji39] [emoji39]Naskia ali kiba yupo atatumbuiza na yeye
Acha uchawi dogo
Subiri kipenzi chako utamuona akifanya yake[emoji3] [emoji3]Huhuuuuuu [emoji39] [emoji39]
Daaa ana uwezo mkubwa sana kwa ambao hawajozoea show za vile lazima waseme imepooza maana wamezoea midundo ya CD...Ni shiiiidah,nina jamaa zangu wako mlimani wanasema ni hatareee [emoji133] [emoji133] [emoji133]
Hivi umeshawai kuhudhuria live show hata moja?mkuu huyu jide nampenda since day one ila hii show nikiangalia naona kabisa something is missing there