Dola 60,000 bila ya ushuruIna uzwa shngapi i gari???
ushuru ni 100% ya bei ya kununua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola 60,000 bila ya ushuruIna uzwa shngapi i gari???
Maisha hayako siriaz kiasi hicho, nyie ndio mnakufa na stress kwa kucomplicate mambo. Kama huna time na wasanii hili jukwaa umefata nini?Kwa kweli inasikitisha sana. Utakuta mtu yuko bize siku nzima kuongelea habari za wasanii na pengine kasahau kujihusisha na jukumu la kusaidia wazazi wake. Kuna siku Diamond alifanya sherehe ya kumtoa mtoto wake unaambiwa watu wasioalikwa walijazana nje kutizama na kuhesabu wasanii wanaoingia nyumbani kwa Diamond. Seriously, hivi mtu unashindwa kufanya la maana kweli kutizama wasanii wa Tanzania? This is very stupid tena hakuna mfano.
sio mpya hao tttr auto upgrader ni garage ya body wana pimp magari na ku upgrade nosecut..Weka picha tuione hiyo unayoizungumzia ww.
Hata kitu kipya unaweza ukaiupgrade, tatizo lako ww unazani wanaupgrade magari ya zamani. Kuna kipindi kimoja nilikiona ktk channel ENG1 star times Kuna jamaa wawili mmoja ana degree ya electrical engineering na mwengine mechanical engineering, wameibadilisha Rolls royce mpya ($250,000) Kuna vitu vya ndani walioongeza, wakanyanya car suspension system, wakaweka ki carrier kwa ajili ya kuhifadhia ndege na hilo gari ni la tajiri wa UK analitumia kuwindia ndege, kwa hiyo acha kumeza hata gari jipya unaweza ukaliupgrade na Kuna watu ndio kazi zao.sio mpya hao tttr auto upgrader ni garage ya body wana pimp magari na ku upgrade nosecut..
Maisha hayako siriaz kiasi hicho, nyie ndio mnakufa na stress kwa kucomplicate mambo. Kama huna time na wasanii hili jukwaa umefata nini?
Ndo hvyo imebarikiwa cc za kutoshaGari ya kawaida sana hiyo.
Mkuu kama hujui kaa konyag ALIKIBA ana miliki VOLKS WAGEN AMAROK Ile cyo TOYOTA mkuuKabisa mkuu kuna magari ya kudiscuss sio hiyo mitulinga!!kale kabinti ka Nandy kana ki gari flani hivi unaweza kukidiscuss,juzi ally kiba kaenda clouds na ki toyota double cabin, haha wabongo kma kawaida wakasifia
lingekua jipya ma liveti yasingeonekana vileHata kitu kipya unaweza ukaiupgrade, tatizo lako ww unazani wanaupgrade magari ya zamani. Kuna kipindi kimoja nilikiona ktk channel ENG1 star times Kuna jamaa wawili mmoja ana degree ya electrical engineering na mwengine mechanical engineering, wameibadilisha Rolls royce mpya ($250,000) Kuna vitu vya ndani walioongeza, wakanyanya car suspension system, wakaweka ki carrier kwa ajili ya kuhifadhia ndege na hilo gari ni la tajiri wa UK analitumia kuwindia ndege, kwa hiyo acha kumeza hata gari jipya unaweza ukaliupgrade na Kuna watu ndio kazi zao.