chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Mimi wazeya huwa nipo tofauti kidogo na migari yaani sionagi uzuri hasa wa hizi kitu. Gari ninazo penda ni Nissan tena nyeupe kama ya wale watu wasiojulikana na Toyota karibia aina zote.
Hela ikikuchanganyia ndo utajuwa uzuri wake.
Unalack of exposure ukawa na Rafiki yako akawa na hiyoo gari ukaiendesha apo ndani raha utakayopata kesho utavunja kibubu.
Sasa kama Nissan za watu wasiojulikana ndo hizo unaziona kila siku unazipanda lazima utazipenda tuu.