chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Mimi wazeya huwa nipo tofauti kidogo na migari yaani sionagi uzuri hasa wa hizi kitu. Gari ninazo penda ni Nissan tena nyeupe kama ya wale watu wasiojulikana na Toyota karibia aina zote.
Nimeifanyia nini Tanzania kwani Mimi Baba wa taifa! Wengine wapambane na hali zao Kama Mimi nilivyopambana na yangu, sipo hapa kwaajili ya kusaidia mtu. Natafuta pesa kihalali na Natoa Kodi inatoshaSawa tajiri. Umeifanyia nini tanzania tajiri ..umeajiri watu? Una foundation yoyote tungepende tuijue, watu wenye uhitaji na hali ya chini unawasaidia tajiri,,nini malengo yako ...unajiona uko wapi baada ya miaka 5...utajiri ulionao chanzo chake ni nini..uliupataje shirikisha watu wajue pengine unaweza kuwa inspire wawe tajiri kama wewe na kujitapa kwenye forums
Lakini mwisho wa Siku mavumbini atarudi
Hata usipokuwa nayo mavumbini utarudi piaLakini mwisho wa Siku mavumbini atarudi
Ukisikia watu wanao ifaidi Dunia basi ndo kama hawa, acha tuzidi kuwasindikiza tu
[emoji2][emoji2][emoji2]Kauli za kimasikini na kukata Tamaa ya Maisha.
Mtu ambae hata simu hana, naye akikuangalia wewe na kasmartfone kako naye anasema maneno hayo hayo “ mavumbini utarud”
[emoji23][emoji2]Hata usipokuwa nayo mavumbini utarudi pia
[emoji23][emoji2]
Hahaha njaa mbaya sana mkuuKumbe kwa ndinga tuu anaweza anzisha chama chake tz na kikawa tishio kwa fid q aka ngosha ze don shithole
ferrari la ferrari ziko hamsini duniani google bei yake ....Hivi hiyo ndinga unanunua wabunge wangapi na madiwani wangapi?
Unaogopa kufa.. ukweli utabaki kuwa ukweli na wala sio kauli ya kimaskiniKauli za kimasikini na kukata Tamaa ya Maisha.
Mtu ambae hata simu hana, naye akikuangalia wewe na kasmartfone kako naye anasema maneno hayo hayo “ mavumbini utarud”
Unaogopa kufa.. ukweli utabaki kuwa ukweli na wala sio kauli ya kimaskini
Usilinganshe kwa uchaguziRapper kutoka Canada, Drake ameonyesha kuwa yeye ni moja ya watu walio na love ya kutosha na magari kwa kuamua kuvuta ndinga nyingine ambayo gharama yake ni sawa na gharama ya kurudia uchaguzi kwa majimbo zaidi ya kumi nchini Tanzania.
Gharama ya ndinga hiyo aina ya ‘Ferrari LaFerrari kutoka kwa hitmaker wa ‘God's Plan’ ni kiasi cha shilingi bilioni 15 na ushee kwa pesa za kitanzania.
Hivi hiyo ndinga unanunua wabunge wangapi na madiwani wangapi?