Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
sio vitu vya kubuni hivi....Shillingi billion 15???acha kutushika masikio wewe kama La ferrari litsuzwa billion 15 je
Konisgegg , buggati,lamborgin veneno,
Ata buggati haiuzwi hyo helaa
Buggat chiron 5.2 billion tz shng
hahahhaha ...She say, "Do you love me?" I tell her, "Only partly"
I only love my bed and my momma, I'm sorry
acha tu aiseee..moneyYuko makini drizzy, hiyo toy sio kitoto. Hasara roho, pesa makaratasi
hahaha ...nafikiri ni ile pride ya kwamba unamiliki gari yenye thamani kubwa sana ya kampuni flaniGari kama siagi iliopakuliwa kwenye joto aisee hapana!
Hata iuzwe billion 90 its one among of the ugliest cars ever produced ikifuatiwa na buggati.
Hivi hawa jamaa sijui wanapendea nini vigari shapeless unakaa kama kiazi kilichochongwa wakati kuna madude yale ma Gmc, Chevrolette na ma Escalade ya kutosha mjini marekani hapo. Nunueni hata ma G wagon basi sio kupoteza hela kununua viazi mbatata.
hahahahha aiseeLabda kwa sababu jamaa hana, bas hatarud mavumbini
acha zako mkuu [emoji2]mimi hilo gari hata unipe bure sijuchukui
Kauli za kukata tamaa.Lakini mwisho wa Siku mavumbini atarudi
safi mkuu...kila katika maisha kila mtu katika level yakeMimi naonyesha ki alteza cha milion 7 za kitz...ngoma draw
Sio kuchukua tu,ni kwamba hata service zake huziwezi kubadilisha oil tu hapo unakuta ni million 20,mafuta kwa siku ya 500k ikipata breakdown kidogo tu milion 10,Unaanzaje kuichukua sasamimi hilo gari hata unipe bure sijuchukui
Ni umaskini ndugu,sasa kama huko kati kuna hukumu na nadhani dhambi unazijua zilivyo na hukumu ni moja ,huoni mwenzako amefaidika duniani na wewe umeteseka duniani na kuzimu Tafuta pesaa..Unaogopa kufa.. ukweli utabaki kuwa ukweli na wala sio kauli ya kimaskini
Na unatumia ki Tecno chako Y3 uko sawa tu na hawa wa ma galaxy Note 8Mimi naonyesha ki alteza cha milion 7 za kitz...ngoma draw
Tena ikija bongo inafika hadi 25Shillingi billion 15???acha kutushika masikio wewe kama La ferrari litsuzwa billion 15 je
Konisgegg , buggati,lamborgin veneno,
Ata buggati haiuzwi hyo helaa
Buggat chiron 5.2 billion tz shng
Kwenye G wagon hapo tukonsawa,ila labda anayonameamua kubadili ladhaGari kama siagi iliopakuliwa kwenye joto aisee hapana!
Hata iuzwe billion 90 its one among of the ugliest cars ever produced ikifuatiwa na buggati.
Hivi hawa jamaa sijui wanapendea nini vigari shapeless unakaa kama kiazi kilichochongwa wakati kuna madude yale ma Gmc, Chevrolette na ma Escalade ya kutosha mjini marekani hapo. Nunueni hata ma G wagon basi sio kupoteza hela kununua viazi mbatata.
Ndio ndioNa unatumia ki Tecno chako Y3 uko sawa tu na hawa wa ma galaxy Note 8