Ndinga Mpya ya Ommy Dimpozi

Na wewe unafanya kazi gani ?
 
Kama ni sembe mwisho wa siku huwa haiachi mtu salama.
Fa,kuna mdau humu alisemaga wanapelekaga mzigo converty city uingereza,huyo bosi wa huko mgonjwa saivi kapooza.anyway tutasikia tu siku ya siku.
 
Huyu, mwanaFA,na edo kumwembe,nna mashaka nao sana.
Mwana fa anakula sana shavu kwa sallam ma boss wa gsm na mo kwenye maswala finnance edo kumwembe anakula pela za maltichoice sportspesa mwananchi na kuna kampuni moja imenitoka ila dimpoz na kiba mtihani sana
 
KAMA TUNAMUELEWA MAKONDA NA UTAJIRI WAKE,NASHANGAA TUNAVYOSHINDWA KUMUELEWA DIMPOZ NA NDINGA YAKE..HA HA HA KIMSINGI #KILAMTUAPAMBANENAYAKE#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…