Ndinga Mpya ya Ommy Dimpozi

Ndinga Mpya ya Ommy Dimpozi

"Possession" inaweza kuwepo bila title.
"Ownership" ndiyo yenye title.
Ili title ibadilike ni lazima owner akubaliane.
Mfano, owner akiibiwa gari, mwizi anakuwa na possession ila hana title maana owner hajakubaliana kuhamisha umiliki.

Dereva wa daladala anakuwa na possession Ila owner yaani tajiri ndiye mwenye title
Unapokua hujafanya perfection ya inheritable property unakua possessor lakini owner ni deceased tuna assume hakuna probate matter iliokua instit
 
Hii Range ni zile zimepitwa na wakati hamuoni kwenye net wanauza mil 30, angalieni vizuri, New Model ziko tofauti na hizi
30m ni ndogo? Hio hata ukipewa bure kama una hela za mawazo itakushinda.
 
Range Rover ya mwaka 2007 toka Japan
Cost+freight+taxes+cleading and registration haizidi milioni 25,,hana tofaiti na mwenye toyota crown ya mwaka 2010
 
Na ugonjwa aliougua kipindi kile kaenda mpaka ujerumani wamemu adjust mfumo wa chakula.. Hospital ya bei mbaya na hatukusikia akiomba msaada.. Na alikaa hospital zaidi ya miezi nane
Nilitaka kuuliza hili swali....kila siku tunaona wakina mond wanaswampa hadi bahrain na korea kupiga show ila huyu bingwa simuoni naona anakula matunda sijui kapanda wapi
 
Kuishi Tanzania yataka moyo sana,maana roho za kimasikini zimetawala sana, hiyo gari ni ya kawaida sana lakini masikini wamelibebea bango
 
Back
Top Bottom