Ndio kusema nimeokota nyumba au?

Ndio kusema nimeokota nyumba au?

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
265
Reaction score
897
Wakuu kwema?

Iko hivi mwaka jana sikulipa kodi ya nyumba baada ya kushindwa kumpata kwenye simu mwenye nyumba.

Yeye huwa anakaa singida na Mimi niko Geita na nyumba yake nikihopangishwa Iko hapa hapa Geita

Baada ya kumtafuta bila mafanikio nikaamua kukaa kimya.

Jana wazo likanijia nipige namba yake lakini sikumpata na mbaya zaidi inaonekana kashapewa mtu mwingne hiyo laini yake.

Wee mzee Shulanyuwi wa Singida kama utaona huu uzi unaweza nitafuta nikupe kodi yako mkuu.
 
Wakuu kwema?
Iko hivi mwaka jana sikulipa Kodi ya nyumba baada ya kushndwa kumpata kwenye sim mwenye nyumba.
Yeye huwa anakaa singida na Mimi Niko Geita na nyumba yake nikihopangishwa Iko hapa hapa Geita, Baada ya kumtafuta bila mafanikio nikaamua kukaa kimya.

Jana wazo likanijia nipige namba yake lakini sikumpata, Na mbaya zaidi inaonekana kashapewa mtu mwingne hio lakini yake.

Wee mzee Shulanyuwi wa singida kama utaona huu Uzi unaweza nitafuta nikupe Kodi yako mkuu.
Hii scenario yako ni kama fulani alivyookota urais
 
nimimi apa kijana nimetafuta namba yako muda mrefu bila mafanikio

niliibiwa simu ndani ya basi nikiwa natoka geita kuja singida, tuma kodi ya kuanzia mwaka jana mpaka mwezi huu kwenye hii namba yangu mpya 0676321372.

usisahau kutuma na yakutolea
 
Back
Top Bottom