Hapana mkuu namtafuta mwenyeweHongera mkuu kwa kuokota nyumba.
Mtu alikuwa anasafiri kutoka singida akadondosha nyumba yake hapo jamaa akajiokoteaHongera mkuu kwa kuokota nyumba.
Kuzurumu ni vibayaBoya sana wenzio wanakaa kimya
Hii scenario yako ni kama fulani alivyookota uraisWakuu kwema?
Iko hivi mwaka jana sikulipa Kodi ya nyumba baada ya kushndwa kumpata kwenye sim mwenye nyumba.
Yeye huwa anakaa singida na Mimi Niko Geita na nyumba yake nikihopangishwa Iko hapa hapa Geita, Baada ya kumtafuta bila mafanikio nikaamua kukaa kimya.
Jana wazo likanijia nipige namba yake lakini sikumpata, Na mbaya zaidi inaonekana kashapewa mtu mwingne hio lakini yake.
Wee mzee Shulanyuwi wa singida kama utaona huu Uzi unaweza nitafuta nikupe Kodi yako mkuu.
Sawa ila si umeokota? ndio maana nimekupa hongera.Hapana mkuu namtafuta mwenyewe
ππππππMtu alikuwa anasafiri kutoka singida akadondosha nyumba yake hapo jamaa akajiokotea
ππππUshakuwa Baba mwenye nyumba tayari,na wewe upangishe
Na Mimi nitakuwa miongoni mwao sioMkuu mwaka jana niliokota kiwanja njiani wakati natoka mitikasi sikuhizi niwengi wanaokota vitu vya thamani mkuu.chakuokota sio chakuiba.
Ee nimwendo wakuokota mbona ulaya wanaokota magari mkuuNa Mimi nitakuwa miongoni mwao sio
Nimegundua kupanga nyumba nzima ni dili,kuna siku unaweza okota nyumbaBoya sana wenzio wanakaa kimya
HakikaHongera mkuu kwa kuokota nyumba.