Ndio kusema nimeokota nyumba au?

Tulia aje na malimbikizo ya Kodi πŸ˜„
 
Utakuta alijenga na hakumshirikisha mtu na kama kafariki basi utakaa hapo mpaka mpaka wanao wakue
Sio uchawi bali kila kitu kinawezekana
Kaangalia Ardhi analipia
 
Labda kafa!Ila hongera kwa kujali,Mungu humpa amatakaye na humnyima amataye.
 
Malizia hii,tafuta taulo,mswaki na ndala za kuogea over size alafu fuga kitambi flani hivi cha kubana taulo isianguke.

Kila asubuhi amka ukiwa umevaa taulo na ndala zako mswaki mdomoni.Basi watu watakuona kabisa wewe ndio faza house na hapo utakua unakibali rasmi cha kuokota nyumba.
 
Hahaha shida Sina kitambi
 
Uongo.

Hii stori mnairudia mno ila mnabadili wahusika tu.
 
Jiandae kulipa au kupakwa mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…