Ndio maana Huwa nasema pale Simba Wenye akili zilikomaa ni MO na TRY AGAIN tu.

Shule zinawasaidia nini? Maadam umeona jina la Mo tu kwenye huo upuuzi tayari umeshaamini. Vijana jifunzeni kuwa analytical kabla ya kuzoa vitu na kuvileta hapa jukwaani.
Wewe umejuajd kama sio mo
 
Mataqo wewe mleta uzi wa kipumbav kama huu, hivi mnakosa chakupandisha hapa jukwaani mnabaki kuleta nyuzi za kibwegebwege hapa? jinga kwelikweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…