Ndio mapenzi yao..ni stress!

Ndio mapenzi yao..ni stress!

nilie nae hanipi stress! Mzungu wangu tulikutana ofisi ninayoifanyia kazi...tangu hapo nimepata nae watoto wawili...anajitahid kuniunganishia mipango mingi. Naweza kuwa nae mbali kwa miezi kadhaa lakin umbali wetu siwezi ku-cheat ! Tatizo lipo pale pale kwa Wabongo tumeweka mapenzi kama mradi badala ya burudani.
 
Back
Top Bottom