sasa akitaka kwenda ''GENTLEMEN'' tena ile kubwa?
heheeee mihangaiko ya maisha inaendelea mweh!! mwenzie hata akirudi kazini hataweza ku-concentrate kwa sasa, wakati mwenye makosa anapeta tu. huyo mke mwenzio sitashangaa kusikia yeye ndo anaomba msamaha kwa hubby lol!!!
Me love being a woman!!
ni wifi yangu.....
Mi nitampigia kura Ritha Mlaki. Hata kama hampendi.
ni wifi yangu.....
ooh yeah, ngoja nimtafute Rose1980 tukanywe chai na muhogo
hahaaa super dearest, hebu ongea na laaziz wako vizuri, ila kama hiyo ndo ganzi yenyewe mmmmh nimekufa mweh!!!
hapo kwenye rangi.......sijui if I will learn to live with that painful truth poor me!!! dawa kuwachongeshea boxers za chuma hawa.
hehehehe!hahaaaaa Teamo nimecheka mpaka nimepata 'hamu' ya kwenda lediz aisee dah!!
tutapanga schedule ya kufanya bowling, asubuhi kabla ya kuoga. sasa likija suala la dharura....ngoja nione itakuwaje
We ulishawahi kuchokonoa? Ulijuaje kama huwa zinachokonolewa? Hebu tupe uzoefu wako hapo.hakuna jema...zitaenda kuchokonolewa tu na spare atakuwa nayo.
hahahahahha!We ulishawahi kuchokonoa? Ulijuaje kama huwa zinachokonolewa? Hebu tupe uzoefu wako hapo.
hehehehe!
haya bwana na design ako ya boxa za chuma
ha ha ha hommie naona sasa umeshaisoma saikolojia......umekuwa mkali kweli kweli!eeh!au unaaaaa......😛reggers:😛reggers:
na siku ya kukubali ataomba yaishe kimyakimya ka Wifi hapo juu!!ukali huu una manufaa yake....ila kuna siku utakubali.....:argue:
ushindwe na ulegee wewe dawa
ustake kuhalalisha madudu pale bustani ya edeni kulikuwa na akina hawa wangap na adamu wangapi???????
acha ushetwaaaaaaaaaani wako
the formula goes to 1 by 1 nt 1 by 11 u gt me???????
karibu chai na mihogo!!!!!!!!!!
nawasilisha
Kifudifudi! Nisipokunywa kileo sijui huwa nalalaje... Enewei....Ayayayayayayayaya! orait!!Aspirin, Teamo RR Meku, mmeamkaje???
mimi nimeamka vvvvvvvvvvvvvvuuuuup!maanake nilikuwa na stress za foleni mbio bafuniAspirin, Teamo RR Meku, mmeamkaje???
Kifudifudi! Nisipokunywa kileo sijui huwa nalalaje... Enewei....Ayayayayayayayaya! orait!!
mimi nimeamka vvvvvvvvvvvvvvuuuuup!maanake nilikuwa na stress za foleni mbio bafuni
Hv nshaamka??
Nipo mwake mamushka....ya jana haikua kali sana sijui yule mama muuza kajifunza mbinu za kuchakachua? hii technolojia itatuua wengi... hapa ntaomba msaada kwa hommie anijuze!!Aspirin, Teamo RR Meku, mmeamkaje???
Halafu hommie nna kesi na wewe na mamushka. Mmekula njama mchumbangu mmemfungia usalule.................:fish2:Nipo mwake mamushka....ya jana haikua kali sana sijui yule mama muuza kajifunza mbinu za kuchakachua? hii technolojia itatuua wengi... hapa ntaomba msaada kwa hommie anijuze!!