ndio ndoa hizi

sasa akitaka kwenda ''GENTLEMEN'' tena ile kubwa?

hahaaaaa Teamo nimecheka mpaka nimepata 'hamu' ya kwenda lediz aisee dah!!

tutapanga schedule ya kufanya bowling, asubuhi kabla ya kuoga. sasa likija suala la dharura....ngoja nione itakuwaje
 
hahaaa super dearest, hebu ongea na laaziz wako vizuri, ila kama hiyo ndo ganzi yenyewe mmmmh nimekufa mweh!!!

hapo kwenye rangi.......sijui if I will learn to live with that painful truth poor me!!! dawa kuwachongeshea boxers za chuma hawa.

hakuna jema...zitaenda kuchokonolewa tu na spare atakuwa nayo.
 
hahaaaaa Teamo nimecheka mpaka nimepata 'hamu' ya kwenda lediz aisee dah!!

tutapanga schedule ya kufanya bowling, asubuhi kabla ya kuoga. sasa likija suala la dharura....ngoja nione itakuwaje
hehehehe!
haya bwana na design ako ya boxa za chuma
 

Mfalme Suleiman alikuwa na wake wangapi?
Mtume Muhamad alikuwa na wake wangapi?
Babu yangu mmeku mtweta alikuwa na wake wa 3
Jogoo langu pale home lina mitetea 12
Mimi nimezaa na wanawake wawili, na wewe ukitaka nafasi iko wazi (kama unafikia viwango vyangu)
..........Listi inaweza kuendelea mpaka kesho

Na situesheni zote hizo zilikubalika na jamii na ziliheshimiwa na bado zinakubalika na kuheshimika na jamii. Unabisha nini hapo??

Au nawe unajidanganya huyo boifrendi wako sijui mchumba wako huo mtarimbo wake kanautumbukiza kwenye huo mtambo wako peke yako? We endelea kujidanganya, kalaghabaho. Siku moja utakuja hapa kutuomba ushauri!
 
Aspirin, Teamo RR Meku, mmeamkaje???
 
Kifudifudi! Nisipokunywa kileo sijui huwa nalalaje... Enewei....Ayayayayayayayaya! orait!!

mimi nimeamka vvvvvvvvvvvvvvuuuuup!maanake nilikuwa na stress za foleni mbio bafuni


hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiii!!!

Maisha na nyie burudaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani
 
Aspirin, Teamo RR Meku, mmeamkaje???
Nipo mwake mamushka....ya jana haikua kali sana sijui yule mama muuza kajifunza mbinu za kuchakachua? hii technolojia itatuua wengi... hapa ntaomba msaada kwa hommie anijuze!!
 
Nipo mwake mamushka....ya jana haikua kali sana sijui yule mama muuza kajifunza mbinu za kuchakachua? hii technolojia itatuua wengi... hapa ntaomba msaada kwa hommie anijuze!!
Halafu hommie nna kesi na wewe na mamushka. Mmekula njama mchumbangu mmemfungia usalule.................:fish2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…