ndio ndoa hizi

ndio ndoa hizi

Mpenzi ah wala usiwe na shaka dia hii ni ngoma na utamu wa ngoma.............. so shaka ondoa huwezijua wawezabahatika ukaingia na mirindimo ya aina yake ya kipekee so ukawini but cha muhimu tu usijikamie kuwa mshindi weye!![/QUOTE]

nikajikuta mwembe jini (kndoni makaburini bora mwenzangu ICU)

BTW: MISD U

Misd you too my sisy nilikuwa nimebanwa sehemu my dia.

Huyu mwenzetu (wifi) alijisahau mwenzangu akadhani kile kifimbo kaumbiwa yeye tu ah bora ujigambe kimoyo moyo hakuna atakaekusikia lakini watangaza?- wamtangazia mwenzio kuwa malaika aishiye katikati ya mapepo!! utajipangusa
 
Misd you too my sisy nilikuwa nimebanwa sehemu my dia.

Huyu mwenzetu (wifi) alijisahau mwenzangu akadhani kile kifimbo kaumbiwa yeye tu ah bora ujigambe kimoyo moyo hakuna atakaekusikia lakini watangaza?- wamtangazia mwenzio kuwa malaika aishiye katikati ya mapepo!! utajipangusa

hahaaa lol, mbona kifimbo!!!!
na anajipangusa kweli sasa, si unaona anaona soo watu kujua, anataka yaishe chini chini kwa kuwa alijigamba kuwa yeye ndo yeye mwanzo mwisho, mumewe anachimba uranium humo ndani kwa hiyo hana haja ya kwenda kuchovya kunako chokaa
 
mie na credit wapi na wapi, tumemuachia mama yake sasa aendelee, wafarijiane weee wabembelezane weeee, mpaka atakaporuhucwa,
Vibaya hvyo nyamayao mbona unakuwa kama unashangilia mwenzio kuumizwa, Its not fair at all hebu muonee huruma kidogo mwanamke mwenzio bwana.
 
Misd you too my sisy nilikuwa nimebanwa sehemu my dia.

Huyu mwenzetu (wifi) alijisahau mwenzangu akadhani kile kifimbo kaumbiwa yeye tu ah bora ujigambe kimoyo moyo hakuna atakaekusikia lakini watangaza?- wamtangazia mwenzio kuwa malaika aishiye katikati ya mapepo!! utajipangusa

hahahaha MJ1 umenichekesha sana mie alijisahau
 
Vibaya hvyo nyamayao mbona unakuwa kama unashangilia mwenzio kuumizwa, Its not fair at all hebu muonee huruma kidogo mwanamke mwenzio bwana.

Kapata funza Da Womanizer alidhani wenzie hawajui kutunza ndoa zao.......si kwamba watu wanamcheka la hasha kutoka hapo hatakuja na habari tena za mme wangu ooh ikaenda ikarudi haipo tena
 
mwanamme usimpe guarantee hata siku moja . tena kila ukiona ana (anajifanya) na mapenzi na wivu mwingi ukae mkao wa attahiyatu......ujue anytime utanyanyuka!

fanya kile unachoweza, lakini usione ndoa ya mwenzio inalega lega ukataka kukosoa sana kuwa wewe ni professional na wako hawezi kukutenda.

sometimes inabidi tukubali tu maneno ya asprin wanaume wameumbwa kwa wanawake wengi asipotafuta nje jua amejitahidi kulivyo kawaida

hahaha, dah....mna misemo acha tu. Sasa ndoa ya nini kama mtakuwa mnaishi kwa wasiwasi namna hiyo?

Misd you too my sisy nilikuwa nimebanwa sehemu my dia.

Huyu mwenzetu (wifi) alijisahau mwenzangu akadhani kile kifimbo kaumbiwa yeye tu ah bora ujigambe kimoyo moyo hakuna atakaekusikia lakini watangaza?- wamtangazia mwenzio kuwa malaika aishiye katikati ya mapepo!! utajipangusa

..welcome back partner, jamvi limeku miss sana.
Huenda umekusanya mapya ya ku dicuss humu.

Karibu sana! :thumb:
 
hahaha, dah....mna misemo acha tu. Sasa ndoa ya nini kama mtakuwa mnaishi kwa wasiwasi namna hiyo?
hapo mi ndo nakosa esence ya hii Taasisi jamani.....maisha ya wasiwasi ni mabaya sana bana!! mguu ndani, mguu nje!!! its torture in itself....
 
bht hutakiwi kukaa na wasi wasi ati

kwani mfano kuna uwezekano mkubwa wa kupata malaria ikakuangusha, lakini huishi kwa wasi wasi kuwa utaugua ati.....unaishi kawaida tu na kinga za hapa na pale unazofanya bila ya kutumia nguvu nyingi, likikupata utapambana nalo hapo likishakufika.
 
ni yeye aliekuwa natuambia kaka zake wanatu cheat coz sisi wake zao hatuwa handle/wajali kama inavyopaswa ndio mana wanatoka nje, yeye mume wake hawezi kutoka nje coz anampa kila kitu anachostahili kupewa na mkewe ""mie huwa nashangaa sana kila wakati mkalalama kaka zangu wana cheat, kwanini hamjiulizi why wanawa cheat ili mrekebishe tatizo?..mwanaume mwenye kujaliwa na mkewe hawezi kum cheat hata cku 1"...ni maneno ya kashfa ya mdogo wake na mr aliyokuwa anatuambia wakati kaka zake walipokuwa wanatufanyia maruwe ruwe... huwa anasema mume wake ni kwa ajili yake tu, na kila binadamu anaewajua huwa wanajua kwamba wao wawili wameumbwa kwa matumizi ya wao wawili tu, ni j5 nimefika home ucku, cm ya mr inaingia mtu anash2ka kuambiwa dadake yupo I.C.U.... ni kwamba alikuwa safari kikazi dar, nia yake arudi kwake arusha kwa kum surprise mumewe, kafika home kaingia sitting room kamkuta mume na binti anaemsaidia kazi hapo home (ni binti wa mjomba wake kabisa) wapo dunia nyingine, kabisa, wifi alipiga yowe na kuzirai hapo hapo, kakimbizwa Selian hosp muda mfupi kahamishiwa I.C.U...alhamic nilifunga safari kwenda kumuuguza coz mama mpaka atoke shy, maendeleo sio mabaya jana katolewa I.C.U, asubuhi nilimcal mke wa mdogo wake mr ambae ndio anamwangalia kwasasa akasema mambo sio mabaya, kilichonishangaza ni jana asubuhi kaamka vizuri na kuanza kutuomba hayo mambo yaishie kifamilia hataki ma colleague/majirani wajue hilo jambo coz hawatamuelewa na wanajua mr wake ni mwema/safi kabisa na hata hivyo juzi ameteleza tu"... mr jana ndio kajitokeza hosp binti hajulikani alipo, mke anasema bado anampenda sana mumewe, mama amefika jana anasema hataki mtoto wake arudi kwenye hiyo ndoa, makaka wanatutolea macho tu, wakati wenzie ndio tumemaliza misuko suko kama hiyo yeye ndio anaianza tena kwa vibaya kabisa, unaingia moyoni kwa mtoto wa mwanamke mwenzio ukiwa umevaa kandambili mchezo? .....nitarudi.

Hahahahhaha! Ama kweli laazizi ninaye jamani, kila siku una terminology mpya!
 
Dawa ni kuweka ganzi tu kwenye moyo wako....!!! Ili hata siku yakitokea uweze kuyahimili. Kama huyo dada aliyelazwa ICU sasa hivi ndio ameshakomaa sasa....Yaani hata akimfumania mumewe tena hatalazwa!
 
Dawa ni kuweka ganzi tu kwenye moyo wako....!!! Ili hata siku yakitokea uweze kuyahimili. Kama huyo dada aliyelazwa ICU sasa hivi ndio ameshakomaa sasa....Yaani hata akimfumania mumewe tena hatalazwa!

she z damaged, na kama ganzi zenyewe ndo za hivo duh tutaumia sana
 
na hata angeyafanya yote hayo bado angecheza rafu na angetungiwa stori nyingine, unacheza na mwanaume nini, mwanaume ni mzuri akiwa hajacmamisha, akicmamisha bac tena.

Safi sana laazizi, call a spade a spade and not a big spoon
 
ngoja tupoteze ushahidi
Hilo jema! c umeona hapo kwa wifi ushaidi wa kuona umempeleka ICU, mambo ya suprise bana sooo! Ya nn malumbano mi nakwambia. Kabsaa natoka usalule leo uweke mambo sawa! Lol
 
Mtu nimemkuta mkubwa kabisa na meno yake 32 anipeleke ICU!!? ooh no! naomba tu Mungu anisaidie. Ndo maana i hate suprices. mpe pole wifi
 
Back
Top Bottom