Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
Ha ha ha hommie hi inahitaji thread yake inayojitegemea!ha ha ha!
haya mom
idea yangu ni kwamba ni MIRADI YA HASARA!yani the women stuff,the marriages,and the whole contract ni HASARA TUPU!
yaani lazima uspend hela nyingi...!tena bora mkeo awe hana kazi au hana hela inakuwa hauweni lakini tofauti na hilo dah!
unajua kuna jamaaangu hapa kaoa machame yeye ni mtumishi wa serikali!kwa mwanamama hela ipo mingi sana,na yule mama ana hela kiaina!sasa jamaa anahaha kwel kwel anajitutumua kufika level fulani ili atizamike kwa mkewe
hivi tunavyoongea jamaa keshavuta gx100 kwa tabu,kufunga na shida zote na kampa waifu ake atembelee mafuta anajaza jamaa!hapa tunaumiza kichwa mafuta ya kumpa jamaa amjazie mkewe aende moshi...!
WHAT THE HELL IS THIS!
F-U-C-K!