Ongea taratibu basi hommie.......Hii kesi ya mamushka ujue!!Halafu hommie nna kesi na wewe na mamushka. Mmekula njama mchumbangu mmemfungia usalule.................:fish2:
Nipo mwake mamushka....ya jana haikua kali sana sijui yule mama muuza kajifunza mbinu za kuchakachua? hii technolojia itatuua wengi... hapa ntaomba msaada kwa hommie anijuze!!
Halafu hommie nna kesi na wewe na mamushka. Mmekula njama mchumbangu mmemfungia usalule.................:fish2:
Ongea taratibu basi hommie.......Hii kesi ya mamushka ujue!!
Hapo ana kesi ya kujibu kabla hajakamata talaka na kuhamishiwa kwa homeboy kwa lazima! (baada ya kudumisha mila kiduchu, mahawara hawaachani ujue):closed_2:haaaaaaaaaa, kapanda bus la upendo mwenyewe kamfata Kimey, iweje useme tumemlia njama???
ya kulikisha hii kitu kwa homeboy....kivipi??
he he he hapo kwenye chaki rule No. ngapi vile?Hapo ana kesi ya kujibu kabla hajakamata talaka na kuhamishiwa kwa homeboy kwa lazima! (baada ya kudumisha mila kiduchu, mahawara hawaachani ujue):closed_2:
hahahahaha!mimi hapana ona kabisa hii(baada ya kudumisha mila kiduchu, mahawara hawaachani ujue):closed_2:
hahahaha!
TATIZO LAKO WE UNAJUA HAPO UTAKUTANA NA penakode...!
hiyo hiyo confessions na denials ndo nilitaka uone,na uone waliochangia na uilinki na hii sredi
kati kati ya mstari sasa....!heheheheheh!
''...TULIFURAHI PAMOJA,TUKATESEKA TUKAHUZUNIKA PAMOJA,NA TUTASHINDA PAMOJA...''
muheshimiwaaa spiiiiiiikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamorning ladies and gentlemen.......tudevelop....huku ndo kumekucha!:A S 39:
Ngoja nianze kutabiri. Kwenye 81 wapo......Teamo, Asprin, Roya Roy, De Novo, Kaizer, Fidel,Bigirita,GP,Kimey,Maxence Melo, Maskini_Jeuri...............FL1, Nyamayao, Charity, Carmel,Bht,Lily Flower,Preta,GS,JS,MJ1, Mom.Katerelo,Noname
Kwenye 46: .............0%
Damn! sasa hiyo 63.78% inai nfidelatize na kina nani? Wanawake bana...........Haya bana!
😛ound:
pole kwa mkasa... Ni ka-udadisi tu:Mbona 'Senksi' nyingi zinatoka kwa vidume?!!!😛ound:
sijafungua kinywa mjue, nimeagiza mihogo sasa ndo nimeletewa ngoja nikajichane
Aksante Partner nimeshakaribia ........... Asa mbona nasikia harufu ya wivu partner?? ndio nini kuredisha hapo kwenye nimefichwa sehemu??. .......mwenzio nilikuwa aisiiyuu........
Huyo wifiyo angekuwa anaifahamu necha vizuri wala asingepata mapresha yote hayo.
Ni hivi:
Mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume mmoja ila mwanaume ameumbwa kwa ajili ya wanawake wengi... Ukishalijua hili na kulikubali nakuliamini, na kulitenda, haya mambo wala hayatakuumiza.... Mfundishe wifiyo kanunu hii na afya yake itarejea sawia!!!
Mwenzio naye alidhani kama wewe. Huyo jamaa mpe muda tu. Mila lazima zidumishwe Da Sophy. Jiandae kwa mshangao wa mwaka.Wewe ndio umekosea. Mwanaume pia ameumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja tu, shida ya wanaume wanapaparika wanashindwa kumgundua huyo mwanamke waliyeumbiwa, wanaoa kwa tamaa tu. Kama mtu wangu hapa alioa mwanamke kwa ajili ya digrii zake za ulaya, sasa hivi anajuta kagundua kuwa anayeolewa ni mwanamke na si digrii. Kila siku ananililia kama mtoto mdogo anasema kwa nini hakunifahamu siku zote hizo. Hapo unakuta ndoa kwingine na mapenzi kwingine. Yaani huyu ni aliumbwa kwa ajili yangu lakini akapotea njia akaenda kuoa digrii za ulaya, halolaho!
Wewe ndio umekosea. Mwanaume pia ameumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja tu, shida ya wanaume wanapaparika wanashindwa kumgundua huyo mwanamke waliyeumbiwa, wanaoa kwa tamaa tu. Kama mtu wangu hapa alioa mwanamke kwa ajili ya digrii zake za ulaya, sasa hivi anajuta kagundua kuwa anayeolewa ni mwanamke na si digrii. Kila siku ananililia kama mtoto mdogo anasema kwa nini hakunifahamu siku zote hizo. Hapo unakuta ndoa kwingine na mapenzi kwingine. Yaani huyu ni aliumbwa kwa ajili yangu lakini akapotea njia akaenda kuoa digrii za ulaya, halolaho!
Mwenzio naye alidhani kama wewe. Huyo jamaa mpe muda tu. Mila lazima zidumishwe Da Sophy. Jiandae kwa mshangao wa mwaka.
Da Sophy............... natamani nikuone maana vituko vyako vya mwaka!Wewe ndio umekosea. Mwanaume pia ameumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja tu, shida ya wanaume wanapaparika wanashindwa kumgundua huyo mwanamke waliyeumbiwa, wanaoa kwa tamaa tu. Kama mtu wangu hapa alioa mwanamke kwa ajili ya digrii zake za ulaya, sasa hivi anajuta kagundua kuwa anayeolewa ni mwanamke na si digrii. Kila siku ananililia kama mtoto mdogo anasema kwa nini hakunifahamu siku zote hizo. Hapo unakuta ndoa kwingine na mapenzi kwingine. Yaani huyu ni aliumbwa kwa ajili yangu lakini akapotea njia akaenda kuoa digrii za ulaya, halolaho!
nawashangaaga sana baadhi ya wanawake....wanadanganywa tu na hao wanaume na wao wanayaweka kichwani, kama huyo mwanaume amegundua kweli alioa digrii na sio mke kwanini kwasasa asioe mke bac ambae ndio huyo da sophy?...hapo akikaa nae lisaa utackia ngoja niwahi home, wife akical awaweweseka wife huyo anacal, hapo hapo mnaambiwa ameumbwa kwa ajili yako, hivi mtazibua lini akili jamani?