ndio ndoa hizi

ndio ndoa hizi

huyo jamaa kosa lake kubwa ni ENEO ALILOTUMIA KUCHITI....!adhawaiz chiiting is there na wana jf wenyewe wameuthibitishia uma:

HEBU TUJIKUMBUSHE KIDOGO:
Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?


Sijui jinsi ya kuweka poll hapa, hope mods will do the needful.

Naomba tu kujua wangapi humu kama wako kwenye ndoa na kwa umri wa ndoa zao wameshaengage in sexual activities na watu tofauti na wenza wao. (cheating). Na pia kwa wale ambao ni singles, wangapi wamesha cheat na waume au wake za watu? Kuweni free tu ili tujue statistics za hapa Tz kwenye hili swala, tusibishanie maneno. Kwa vile wengi sana wanasema its normal to cheat i hope hatutaogopa kuvote hapa.
Kwa mfano. kama wewe ni single sema "mimi ni single sijawahi au nimewahi kucheat na mke au mume wamtu"
kama wewe ni married sema ' Mimi ni married na nimesha wahi kucheat mara kadhaa"

Pia addition information unaweza kutueleza uliewahi kucheat naye ni same person au different people over a certain time, hata sababu zilizokupelekea kucheat pia would be appreciated. Je spouse wako alijua, aliwahi kuhisi au amelala usingizi wa pono, yani hajui kinachoendelea.
Tuwe wakweli basi. thanks.
na majibu yalikuwa hivi:


  • NDIO

    81 63.78%


  • HAPANA

    46 36.22%

kwa msaada wa kisheria BONYEZA HAPA
 
huyo jamaa kosa lake kubwa ni ENEO ALILOTUMIA KUCHITI....!adhawaiz chiiting is there na wana jf wenyewe wameuthibitishia uma:

HEBU TUJIKUMBUSHE KIDOGO:
Ulishawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoa au na mtu mwenye ndoa?



na majibu yalikuwa hivi:



  • NDIO

    81 63.78%




  • HAPANA

    46 36.22%


kwa msaada wa kisheria BONYEZA HAPA
Total percentage 127% Damn it!
 
noname, maisha hayawezi kuwa normal tena kwa huyu, wanaanza maisha mapya na anajifunza kuishi na cheater! namwonea huruma huyu wifi kajifunza maisha ya ndoa too late!

mie kweli nimeona bora ajionee maisha kwenye mwanga bora.......ndo game linaanza sasa hko nyuma walikuwa wanacheza makidamakida na ndoa.
 
teamo sijauona huo msaada wa kisheria kwenye hiyo link nimektana na confessions na denials tu
 
mie kweli nimeona bora ajionee maisha kwenye mwanga bora.......ndo game linaanza sasa hko nyuma walikuwa wanacheza makidamakida na ndoa.

unanichekesha bwana!
ila mi kama nina bahati, mawifi zangu walinitia moyo sana enzi zile hata kunipa mfano even mom yalimkuta! maana mi atfirst niliona bora kuishi single ila nikafkr ina maana nimelost muda, huyu anamoyo ati anamkumbatia kwa kilio?!
 
jana asubuhi alikuwa analia anasema haamini kama mume wake alishindwa hata kutafuta mwanamke mwingine huko nje mpaka afanyie ndani, tena na ndugu yake""siamini kabisa kama (fulani)kanifanyia hivi...lakini ameteleza tu"...yaani analia na kujifariji mwenyewe.
maskini pole yake, ila asipende sana kuusemea moyo wa mwenzie,
 
mom kwa hiyo ukijua kuna kuchitiwa kwenye ndoa haitakuuma sana kama vile utavostukizwa tofauti na imani yako...??

kuchitiwa kwa namna yoyote kwenye ndoa kuna maumivu yake, ishu ya wifi hapa ni kwamba yeye alikuwa haamini/hakubaliani kuwa kuna cku mume atamchiti coz ni ameumbwa kwa ajili yake na yeye kwa ajili ya mr..hapo kuna utofauti kidogo na wa sie ambao mani zetu zilikuwa 40-100, na ukicheki eneo la tukio ndio kabisa mdada I.C.U ni lazima ingemuhusu.
 
teamo sijauona huo msaada wa kisheria kwenye hiyo link nimektana na confessions na denials tu
hahahaha!
TATIZO LAKO WE UNAJUA HAPO UTAKUTANA NA penakode...!
hiyo hiyo confessions na denials ndo nilitaka uone,na uone waliochangia na uilinki na hii sredi
kati kati ya mstari sasa....!heheheheheh!
''...TULIFURAHI PAMOJA,TUKATESEKA PAMOJA,NA TUTASHINDA PAMOJA...''
 
unanichekesha bwana!
ila mi kama nina bahati, mawifi zangu walinitia moyo sana enzi zile hata kunipa mfano even mom yalimkuta! maana mi atfirst niliona bora kuishi single ila nikafkr ina maana nimelost muda, huyu anamoyo ati anamkumbatia kwa kilio?!
Yaani wewe kati ya wanawake naowakubali humu wewe ni namba 1. Unaujua ukweli na unausimamia. Mme wako ana bahati sana. leo ukirudi nyumbani mpigie makofi matatu. Mkilala mbarikiwe upate mimba ya mapacha. Sema AMINA.
 
Kama kuna uwezo wa kuzipunguza lingekuwa jambo jema sana
tukianzia na kwako Asprin

63.78 % to 0% :A S tongue:
HEHEHE!sasa hao asilimia 26.22 sijui niwaweke wapi....!i don't knw kwakweli

au WAMEHASIWA?
 
Kama kuna uwezo wa kuzipunguza lingekuwa jambo jema sana
tukianzia na kwako Asprin

63.78 % to 0% :A S tongue:
Infidelity 63.78% Hapo ntakuwa kama nimeacha ujue. Mimi infidelity ni 100% kwa maslahi ya ndoa yangu, afya yangu na mila zetu...:amen:
 
Ndoa au mahusiano hayana ukawaida, na mbaya zaidi kusemea mioyo ya wenzi wenu! Mi nadhani hiyo haina tatizo, cha msingi mshkaji kama bado anampenda bibie warudi wasongeshe maisha yao, ilikuwa ni zoezi la kuchukua uzoefu toka kwa KUKU WA KIENYEJI!
 
maskini pole yake, ila asipende sana kuusemea moyo wa mwenzie,



na jana mume alivyokuja hosp ndio kanimaliza kabisa, naona alijiandaa kwa lolote, mie ndio kama vile cjui kama kuna lililotokea mpaka nikapelekwa lunch kula samaki foil, huko mtuhumiwa ndio akanipa full stori, ndio mana na mie nikawambia kaka zake hawa watu watakuwa walianzana cku nyingi( waumie roho na wao)
 
kuchitiwa kwa namna yoyote kwenye ndoa kuna maumivu yake, ishu ya wifi hapa ni kwamba yeye alikuwa haamini/hakubaliani kuwa kuna cku mume atamchiti coz ni ameumbwa kwa ajili yake na yeye kwa ajili ya mr..hapo kuna utofauti kidogo na wa sie ambao mani zetu zilikuwa 40-100, na ukicheki eneo la tukio ndio kabisa mdada I.C.U ni lazima ingemuhusu.

hahaaaa me by now kwishnei kabisa wala sitanii!!! huwa napata mawenge hata nikihisi tu naibiwa........mpka naendesha kwa kihoro lol!!
 
unanichekesha bwana!
ila mi kama nina bahati, mawifi zangu walinitia moyo sana enzi zile hata kunipa mfano even mom yalimkuta! maana mi atfirst niliona bora kuishi single ila nikafkr ina maana nimelost muda, huyu anamoyo ati anamkumbatia kwa kilio?!

hicho kiliwauzi sana kaka zake, lakini hawana la kufanya, juzi alivyozinduka akauliza jamani nipo wapi na nafanya nini? mke mwenzangu akamjibu"" upo hosp unamfumania baba nanilii lakini hujaukubali ukweli""...haaa ilibidi nitoke nje kwanza...
 
mom kwa hiyo ukijua kuna kuchitiwa kwenye ndoa haitakuuma sana kama vile utavostukizwa tofauti na imani yako...??

kushtukizwa inauma sana bht ndio hivyo unaweza rest in peace lakini kama unajua yanatokea haitauma kihivyi japo inauma
 
Back
Top Bottom