Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
sizijui mkuu ni highlight
Nimekosa mpunga kwa mechi moja tu uwiiii uka bhojo [emoji24],,karibu sana mkuu humu [emoji1787][emoji2957] jiskie huru sisi ndo jamii yako ya humu usitukatae
Nipo Department Ya Kukaribisha Warembo Na Kupokea Shida Zao Zozote.
Kama Ni Ke Karibu Sana.
Otherwise Department Husika Itakukaribisha Mkuu.
Dah! Karibu sana mjukuu wetu jamii forums. Mimi ndiye Waziri mwenye dhamana ya michezo humu jukwaani.
Weka picha na majina yako halisi ikikupendeza namba ya NIDA huku jf kwenda ulaya na marekani usipende wewe tu.
Mdomo koma
kuna sheria nilishaivunja acc ikawa rejected
umalaya tu ww[emoji3][emoji3]
Karibu mkuu huku kila mtu ana gari na miradi mikubwa mikubwa.
Karibu!Wakuu mm mgeni kwene huu mtandao
Ndo nimejiunga leo jF
ushauri
Acha kumtisha mwenzio!Karibu mkuu huku kila mtu ana gari na miradi mikubwa mikubwa.
Palamagamba kabudi😃😃 jokesDah! Karibu sana mjukuu wetu jamii forums. Mimi ndiye Waziri mwenye dhamana ya michezo humu jukwaani.
Exactly kabisa mkuu... yani sisi site ni matajiri.Karibu mkuu huku kila mtu ana gari na miradi mikubwa mikubwa.
E
Exactly kabisa mkuu... yani sisi site ni matajiri.