Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Ndio nimejiunga leo na JF wakuu

Mfano mimi nataka unipe fomular mpya za kuishi na dem goto bila kumlipia mali na kwao wakaridhia.

Kuna makabila ambayo hilo swala kwao ni kawaida kama wangoni,wazaramo na mengineyo

lakin pia inategemea na familia malezi kuna familia mtoto akiondoka kwao hawajishuhulishi kabisa kumtafuta ilimrad wajue yuko salama
 
Kuna makabila ambayo hilo swala kwao ni kawaida kama wangoni,wazaramo na mengineyo

lakin pia inategemea na familia malezi kuna familia mtoto akiondoka kwao hawajishuhulishi kabisa kumtafuta ilimrad wajue yuko salama
Itabid unipe connection sasa😀
 
Wakuu mm mgeni kwene huu mtandao

Ndo nimejiunga leo jF
ushauri
Karibu. Ushauri hakuna haja ya kusema uongo. Edit hapo juu sema........ nimejiunga jana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240119-183503_Chrome.jpg
    Screenshot_20240119-183503_Chrome.jpg
    34.6 KB · Views: 3
Umejiunga na unaanza kuwa muongo unatuonaje huku..... Kwanza ww me au ke alafu unakubali au unakataa ndoa?

Kwanza hatutaki wageni tokaaaaaa
 
Back
Top Bottom