malisak
JF-Expert Member
- Mar 16, 2006
- 694
- 775
Yaani kama kungekuwa na 'malaika' wengi kama 'ninaowaona' hapa ukimwi tungekuwa tunausikia kwa wenzetu tu!
utakatifu usoni mioyoni hata mapadri na masheikh hawana ukweli huo wanajionea sawa wanakimbiza ibada wamalize faster ili wakazini yaani kama wapo watakua na ka-upako fulani hivi.