Karibu mkurugenzi.
hakuna mzee wala kijana humu, mkuukuu au mpya, kichwa chako tu ndio kitakuletea heshima.
Hahaha, weka kapicha tukuone basi.Karibu sana
Mimi ndio mrembo pekee JF...wengine baadae sana..
Nasubiri mawe...
[emoji3] [emoji3]
Fungua PM nishatumaHahaha, weka kapicha tukuone basi.
Asante sana!Karibu, humu kuna waganga wa kienyeji, matapeli n.k. ila kuna watu wenye akili sana, kwa hiyo utawaona na kuwasikia sana, wengine ni wagomvi ujiandae kutukanwa na ukijibu ujiandae kwa ban
Naona msiba umekurudisha nyumbani
Hahahaaa. Ila mgeni si kwa kuchangamka huko jamaani lol.
Wachaaaanimechangamka eee! mie mchangamfu siku zote
Karibu sana
Mimi ndio mrembo pekee JF...wengine baadae sana..
Nasubiri mawe...
[emoji3] [emoji3]
madini unayotoa ... kichwani mwakoAsante sana!
Heshima yangu itatoka kichwani???? sijaelewa hapo
Pia kuna wakwepa kodi kama weweKaribu, humu kuna waganga wa kienyeji, matapeli n.k. ila kuna watu wenye akili sana, kwa hiyo utawaona na kuwasikia sana, wengine ni wagomvi ujiandae kutukanwa na ukijibu ujiandae kwa ban