Ndio nimeshaingia hodi mpaka ndani

Ndio nimeshaingia hodi mpaka ndani

Ndio Mie

Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
5
Reaction score
4
Kama mnavyoniona niko ndani ya nyumba. Nikaribisheni kiti tu maana nina hamu ya kujua yanayoendelea humu. Nimekuwa nikiwasoma tu kwa juu juu nikagundua kuna mengi humu tena ya kutosha. Nikavutiwa na siasa za humu, mapenzi na stori za hapa na pale. Nimesikia kutakuwa na pati... uwiii ninavyopenda pati ikabidi nijitose tu leo.

Nasikia na matapeli wamo.... ha ha haaaa Basi wapendwa ndo hivyo once again hoodi!
 
Karibu mkurugenzi.
hakuna mzee wala kijana humu, mkuukuu au mpya, kichwa chako tu ndio kitakuletea heshima.
 
Karibu, humu kuna waganga wa kienyeji, matapeli n.k. ila kuna watu wenye akili sana, kwa hiyo utawaona na kuwasikia sana, wengine ni wagomvi ujiandae kutukanwa na ukijibu ujiandae kwa ban
 
Karibu, humu kuna waganga wa kienyeji, matapeli n.k. ila kuna watu wenye akili sana, kwa hiyo utawaona na kuwasikia sana, wengine ni wagomvi ujiandae kutukanwa na ukijibu ujiandae kwa ban
Asante sana!
Kuna kutukanwa tena!!?? Ban ni nini?
 
Karibu, humu kuna waganga wa kienyeji, matapeli n.k. ila kuna watu wenye akili sana, kwa hiyo utawaona na kuwasikia sana, wengine ni wagomvi ujiandae kutukanwa na ukijibu ujiandae kwa ban
Pia kuna wakwepa kodi kama wewe
 
Back
Top Bottom