Ndio umeingia Marangu mwezi huu halafu hauna pesa, hivi ndivyo utakavyokuwa unaonwa

Ndio umeingia Marangu mwezi huu halafu hauna pesa, hivi ndivyo utakavyokuwa unaonwa

Forrest Gump

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
637
Reaction score
1,532
62c5b15973772c159cfd1babc29e8e61.jpg
 
Japo umeileta kama utani tu ila imenitachi sana hii picha,

Mtu anapomaliza kazi alipwe kwa wakati anao stahili,ni haki yake huo ujira alioufanyia kazi,

Nao wana matumizi pia,
Kwenye harakati za maisha usimdhulumu mtu,kila mtu ana matatizo yake na ana watu nyuma yake wanao mtegemea,tutende haki kwa kila mtu,haya ni maisha ya muda mfupi sana.
 
Japo umeileta kama utani tu ila imenitachi sana hii picha,

Mtu anapomaliza kazi alipwe kwa wakati anao stahili,ni haki yake huo ujira alioufanyia kazi,

Nao wana matumizi pia,
Kwenye harakati za maisha usimdhulumu mtu,kila mtu ana matatizo yake na ana watu nyuma yake wanao mtegemea,tutende haki kwa kila mtu,haya ni maisha ya muda mfupi sana.
Naunga mkono hoja....

Kukaa na jasho la mtu ni dhambi
 
Japo umeileta kama utani tu ila imenitachi sana hii picha,

Mtu anapomaliza kazi alipwe kwa wakati anao stahili,ni haki yake huo ujira alioufanyia kazi,

Nao wana matumizi pia,
Kwenye harakati za maisha usimdhulumu mtu,kila mtu ana matatizo yake na ana watu nyuma yake wanao mtegemea,tutende haki kwa kila mtu,haya ni maisha ya muda mfupi sana.
Hasa hasa kazi ngumu kama hzo kwenye malipo stakag utan
 
Japo umeileta kama utani tu ila imenitachi sana hii picha,

Mtu anapomaliza kazi alipwe kwa wakati anao stahili,ni haki yake huo ujira alioufanyia kazi,

Nao wana matumizi pia,
Kwenye harakati za maisha usimdhulumu mtu,kila mtu ana matatizo yake na ana watu nyuma yake wanao mtegemea,tutende haki kwa kila mtu,haya ni maisha ya muda mfupi sana.
Upo sahihi mkuu, hii nimeileta kiutani utani ila ina uhalisia huku mtaani. Nna jamaa zangu ni mafundi na wana bosi wao wa moshi, wapo site bosi kaenda moshi wakimpigia simu jibu ni moja tu mpaka arudi kutoka moshi.
 
Back
Top Bottom