NDIYO BASI TENA: Yanga itasota kuvunja rekodi hizi za Simba


Rekodi za Simba ambazo Yanga hajazifikia, ndiyo heading yake! Hayo mengine hayahusu heading ya mtoa uzi
 

Kwa kipi ilichonacho?
 
Angalia CV's za klabu duniani hakuna wanapoandika mwaka Fulani tuliishia robo fainali au mwaka fulani tulifika fainali.wanaongelea miaka waliochukua makombe tu
 
Angalia CV's za klabu duniani hakuna wanapoandika mwaka Fulani tuliishia robo fainali au mwaka fulani tulifika fainali.wanaongelea miaka waliochukua makombe tu

Mkuu inategemea wewe upo interested na kitu gani katika hiyo CV.. Mfano sisi tunayetaka kujua kila kitu kuhusu Simba Sc, lazma tujue hata zile mechi tulizoishia 1st raundi.
 
Pia Yanga haiwezi kuvunja rekodi ya Simba ya kushika mkia daraja la kwanza(kwasasa ligi kuu)na kuponea chupu chupu kushuka daraja baada ya kubebwa na Yanga.
 
Mtoa p0st ameikuta hii habar kwenye Mwanaspoti akainyanyua kama ilivyo kuileta humu akidhani analeta jambo la maana kumbe!!!!!! rekodi kama hizi zinaandikwa tanzania peke yake.
 
Kumaliza ubishi twendeni website ya CAF tuangalie viwango vya ubora wa vilabu vya Afrika....tuone Simba na Yanga zipo nafasi zipi.....
 
CAF lazima Simba ipo juu ya Yanga. Unabisha kaangalie.
 
Ukweli mchungu, ila ndio hali halisi hiyo! Sioni rekodi hizi zikivunjwa zaidi ya kuimarishwa zaidi.
 

Ndio rekodi pekee ya nyie kujivunia, ebu tuongee rekodi za sisi kwa sisi! Hivi ktk kizazi chetu unafikiri 5-0 zitakuja rudi, au tufanye 6 za 1970s.
 

Kaangalie rekodi za CAF, utaikuta simba kama moja ya timu chache zilizofika fainali ya CAF. Sio la kubeza hili. Kushindana na timu bora zaidi Simba iko juu, haina ubishi! Ni kweli ligi kuu rekodi yenu ni zaidi yetu na itachukua muda kuivunja.
 
Mtoa p0st ameikuta hii habar kwenye Mwanaspoti akainyanyua kama ilivyo kuileta humu akidhani analeta jambo la maana kumbe!!!!!! rekodi kama hizi zinaandikwa tanzania peke yake.
wewe ulitaka tuzitoe wapi mkuu? zile za yanga kulalamika kupigwa ngeta kama kisingizio baada ya kushindwa zinatoka wapi? ukweli no kwamba simba iko bora mara 100 yenu timu ya washirikina
 

Kipi bora kati ya hivi, kushinda kikombe kimoja tuu mara nyingi au kushinda vikombe tofauti mara nyingi? Nafikiri hapa, utake usitake Mnyama anatisha! Ndio hali halisi hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…