grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Hata ukurasa mmoja wa note book ndogo haujai, sana sana baada ya kuona ligi imekuwa ngumu kwao sasa wametafuta sababu ya kujitoa kwenye ligi sababu ikiwa ni ya kitoto kabisa. Eti Amis Tambwe amekabwa uwanjani, kwani TFF-YANGA haipo?Ha ha ha hahahahahhahahahhahahah, da umefanya nilogin kucheka kucomment kicheko. Ni kweli sana sana watakwambia tu.
'Yanga imechukua ubingwa wa Tanzania bara mara 24 hivyo ni mabingwa wa kihistoria na wapinzani wetu wa jadi wamechukua mara 18 na imewahi kufika hatua ya makundi ya klabu bingwa Afrika ingawa haikushinda mechi hata moja'
Sasa hapo kuna haja ya kuandika paragraph mbili kweli?
1. Mbona Simba mchezaji wao Okwi aliwahi kupasuliwa kichwa na mchezaji wa JKT Oljoro uwanja wa Amri Abeid Arusha Simba haikukimbilia kauli za kujitoa ikaacha sheria ichukue mkondo wake.
2. Wakati Simba ikicheza na Toto Afrika mwaka juzi, Haruna "Boban" aliwahi kufanyiwa makusudi na polisi wa Mwanza- CCM Kirumba. Wakati Boban anamiliki mpira Polisi Yanga wakamwachilia mbwa akaanza kumfukuza Boban. Mbona Simba haikukimbilia kutoa kauli za kujitoa? Hayo ni kwa uchache tu, mengi yapo.
Maonezi ambayo Simba imekuwa ikifanyiwa uwanjani nadhani ingekuwa ni Yanga wangekuwa wameshahama na nchi.