Ndiyo utagundua kwa nini alipenda kuhimiza maandamano

asante kwa kuliona hilo na cjui ni trick ipi wataapply kuharibu tena vijana cozi unga na viroba now ndani ya red cross!
Ety wanachama wapya, mwanchama unakaa ukisubiri wema ajenge hoja zitakazo komboa taifa kweli
Chadema mjitasimini sana, hamna dhamira ya kweli kwa maisha ya mtanzania, "you have your own secret issues concerning business only"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…