Ndiyo utagundua kwa nini alipenda kuhimiza maandamano

Ndiyo utagundua kwa nini alipenda kuhimiza maandamano

Acha bongo lala, CCM ndicho chama pekee kinachoishi kwa ahadi zake. Chama mfu chadema ni chama cha wauza dona, wapiga dili, waongo, wanafiki, wauaji, wabaguzi, wezi, mafisadi, zeros, wahuni, wachakachuaji, wapenda vita, waendekeza ngono wasioheshimu ndoa zao, waharibu vijana kwa kuwauzia viroba, dona. CCM itadumu daima!
asante kwa kuliona hilo na cjui ni trick ipi wataapply kuharibu tena vijana cozi unga na viroba now ndani ya red cross!
Ety wanachama wapya, mwanchama unakaa ukisubiri wema ajenge hoja zitakazo komboa taifa kweli
Chadema mjitasimini sana, hamna dhamira ya kweli kwa maisha ya mtanzania, "you have your own secret issues concerning business only"
 
Back
Top Bottom