Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Huyo dada ni really buku 7 hayajui kitu just kulopoka tu hata ukimuhuliza nini maana yake litabaki kutoka povu.Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7
Kama ni KATIPA sawa itapita lakini katiba haitapita.mlungo wewe hata kuandika unashindwa sijui.agent wa albino wewe.
swissme
Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7
Huyo dada ni really buku 7 hayajui kitu just kulopoka tu hata ukimuhuliza nini maana yake litabaki kutoka povu.
swissme
Uchumi wa kisiasa ndo upi huo? Huu wa escrow?
uchumi wa kisiasa ndo upi huo? Huu wa escrow?
SEHEMU YA TATU YA KATIPA PENDEKEZWA INAAINISHA MALENGO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KIUTAMADUNI NA INASOMEKA HIVI;
13.-(1) Lengo la Katiba hii kiuchumi ni kujenga uchumi wa kisasa utakaowezesha wananchi na Taifa kujitegemea kwa kuzingatia matumizi ya elimu ya sayansi na teknolojia katika nyanja zote za uzalishaji mali kwa kuhimiza mapinduzi ya kilimo, ufugaji na uvuvi, mapinduzi ya viwanda na kujenga sekta muhimu ya nishati, mawasiliano na miundo mbinu.
Nchi hii imejaa ma zombie sio mchezo! Hivi kwa nini taifa hili katika kipindi cha kama miaka 10 iliyopita uwezo wa kufikiri na kutenda wa watu wengi umeshuka sana au kupotea kabisa? Tena ni kipindi ambacho technolojia ya habari imekuwa kwa kiasi kikubwa sana kwamba huhitaji kuelimika kwa kusikiliza Radio Tanzania tuu bali ipo mitandao ambayo inatuzibua akili na kujua dunia ya nje inakwendaje, vituo vya TV vya ndani na nje vya kumwaga na litokealo kokote duniani tunalijua within seconds tuu?
Wapwa zangu nawaombeni msaada, sababu ni nini? BAK MANI zumbemkuu Elli tpaul na wengineo.
Nchi hii imejaa ma zombie sio mchezo! Hivi kwa nini taifa hili katika kipindi cha kama miaka 10 iliyopita uwezo wa kufikiri na kutenda wa watu wengi umeshuka sana au kupotea kabisa? Tena ni kipindi ambacho technolojia ya habari imekuwa kwa kiasi kikubwa sana kwamba huhitaji kuelimika kwa kusikiliza Radio Tanzania tuu bali ipo mitandao ambayo inatuzibua akili na kujua dunia ya nje inakwendaje, vituo vya TV vya ndani na nje vya kumwaga na litokealo kokote duniani tunalijua within seconds tuu?
Wapwa zangu nawaombeni msaada, sababu ni nini? BAK MANI zumbemkuu Elli tpaul na wengineo.
Wewe mwenyewe ndio ZOMBIE MKUU maana huelewi unachokiongea, tena jiangalie na uvivu wako wa kufikiri unasubiri kuzibuliwa akili na mitandao ili ujue dunia inakwendaje ..... ha ha ha ha ha jamani huyu ni zombie au si zombie semeni wenyewe utakuta hata shule wewe ulikimbia ndio maana unategemea kulishwa hata hupembui pumba, mchanga vyote unameza wee MBIZO KWELI.
Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7
Halafu serekali inajisifu na brn kwenye elimu!