Ndiyooooooooo kwa Katiba pendekezwa!!!!!!!!

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
SEHEMU YA TATU YA KATIPA PENDEKEZWA INAAINISHA MALENGO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KIUTAMADUNI NA INASOMEKA HIVI;

13.-(1) Lengo la Katiba hii kiuchumi ni kujenga uchumi wa kisasa utakaowezesha wananchi na Taifa kujitegemea kwa kuzingatia matumizi ya elimu ya sayansi na teknolojia katika nyanja zote za uzalishaji mali kwa kuhimiza mapinduzi ya kilimo, ufugaji na uvuvi, mapinduzi ya viwanda na kujenga sekta muhimu ya nishati, mawasiliano na miundo mbinu.


 
Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7
 
Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7
Huyo dada ni really buku 7 hayajui kitu just kulopoka tu hata ukimuhuliza nini maana yake litabaki kutoka povu.


swissme
 
Kama ni KATIPA sawa itapita lakini katiba haitapita.mlungo wewe hata kuandika unashindwa sijui.agent wa albino wewe.

swissme


Haaaa! Sina haja ya kubishana na wewe kwa sababu hujielewi na wala wewe sio size yangu, huna hoja unakimbilia kutukana ili usiguswe, angalia mwenyewe ulichokiandika uone madudu, afu unataka tutarajie kipya kutoka kwako nyie ndio walewale ..............
 
Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7

Ha ha ha ha wewe ndo hujielewi tangu lini kichwa cha kuku kika-argue tena kwa hoja tatizo lenu mnakimbilia kuongea mitusi na hii ni ishara kuwa hamna hoja badala yake mnazuia mijadala kwa kuweka mitusi yenu afu mnataka kutulazimisha tuamini ya kwenu yasiyo na maana, ulitaka uambiwe nini kama umekaa nyumbani hayo mafanikio na kukua kwa uchumi utakuona wapi tena wewe inaelekea ni jobless huna lolote.
 
Huyo dada ni really buku 7 hayajui kitu just kulopoka tu hata ukimuhuliza nini maana yake litabaki kutoka povu.


swissme


Tukana mpaka umalize huna hoja na ndivyo ulivyo unaokoteza maneno kwenye majukwaa ya siasa unayaleta hapa, jenga hoja uache kuwa mburula!
 

Sasa bila kuwepo kwa kipengele cha maadili kwenye katiba utawezaje kuwa na good economic base? Hasa kwa kuangalia uongozi wa kisiasa tulionao leo?
 
Nchi hii imejaa ma zombie sio mchezo! Hivi kwa nini taifa hili katika kipindi cha kama miaka 10 iliyopita uwezo wa kufikiri na kutenda wa watu wengi umeshuka sana au kupotea kabisa? Tena ni kipindi ambacho technolojia ya habari imekuwa kwa kiasi kikubwa sana kwamba huhitaji kuelimika kwa kusikiliza Radio Tanzania tuu bali ipo mitandao ambayo inatuzibua akili na kujua dunia ya nje inakwendaje, vituo vya TV vya ndani na nje vya kumwaga na litokealo kokote duniani tunalijua within seconds tuu?
Wapwa zangu nawaombeni msaada, sababu ni nini? BAK MANI zumbemkuu Elli tpaul na wengineo.
 
Last edited by a moderator:

Halafu serekali inajisifu na brn kwenye elimu!
 
Last edited by a moderator:
Hili katiba lenu mpya halina tofauti na ramli ya waganga wanaodai viungo vya Albino
 



Wewe mwenyewe ndio ZOMBIE MKUU maana huelewi unachokiongea, tena jiangalie na uvivu wako wa kufikiri unasubiri kuzibuliwa akili na mitandao ili ujue dunia inakwendaje ..... ha ha ha ha ha jamani huyu ni zombie au si zombie semeni wenyewe utakuta hata shule wewe ulikimbia ndio maana unategemea kulishwa hata hupembui pumba, mchanga vyote unameza wee MBIZO KWELI.
 

Wewe ndio umenisaidia kuipa nguvu kauli yangu. Uwezo wa kufikiri mdogo. Wewe unadhani mitandao maana yake ni JF na facebook tuu? Kama umesoma elimu ya juu au chuo chochote ungeelewa maana ya mitandao yaani websites. Siku hizi huhitaji mabox ya vitabu kuperuzi kutafuta kujua jambo bali unatumia mitandao kupata unachohitaji. Sasa wewe kama unabeba mabox ya vitabu basi uko nyuma sana na jukwaa hili halikustahili kujadili jambo.
 
Mleta maada bila shaka utakuwa ni kichwa cha kuku, yaani kwa umburura wako baada ya kuandika hiyo Heading yako yakimburura ukaona ndani ya uzi watu hawatapitia eti? KATIPA ndo nini! Haya magamba.com yanakufa kifo kibaya kweli. Shame on you buku7

Wee mwenyewe Kitimoto tu unasubiri kuliwa muda wowote, jiangalie mburura wa bukusaba ni hao unaoishi nao ndani kwako!huna hoja unaleta umbugila.
 
Halafu serekali inajisifu na brn kwenye elimu!

Wewe umesomea wapi??? nyie wale mnaodharau mama zetu waliowazaa afu mkipata laana mnawarudia kuwaomba msamaha wakati tayari mko vichaa mnatembea uchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…