Ndiyooooooooo kwa Katiba pendekezwa!!!!!!!!


You might be the one amongst!!
 


Umechoookaaa na shule yako ya kuungaunga ya kwenye mitandao mvivu wa kufikiri unacopy na kupaste ukiambiwa utetee hoja unaishia kulia tu mapovu yanakujaa mdomoni tusifikishane huko unakotaka twende fikiri nje ya box kwani Libray zilizojengwa kwa gharama kubwa na vyuo vikuu, taasisi za utafiti,taasisi za Elimu na afya ni za nini we mburulaaa? unaonekana mzembe kweli na reference zako za mitandao, kama huna hoja kaa kimya.
 
hizi ID za march ni mwendelezo wa Lumumba Buku saba....zinaanzisha utitiri wa nyuzi na kuanza kutetea.....
 

Jaribu kufikiria kwa mapana zaidi, acha uvivu wa kufikiri. Ina maana kwa kusoma hicho kifungo kama kilivyo ndo uwezo wako wa kufikiri umefika ukomo?
Sisiemu wanapenda sana vilaza kama wewe!
 

http://www.computechsys.com/the-importance-of-using-internet
Hii inaweza kukusaidia kidogo. Do you think katika modern world mpango wa kujenga library kubwa kama soko la Kariakoo kwa ajili ya kuweka magunia ya vitabu utaendelea? Kasi ya kutafuta references katika internet na kufunua kurasa za vitabu inalingana? Hoja ya msingi ilikuwa kwa nini watu ni wajinga wakati namna ya kupata uelewa kwa kutumia mitandao (Internet) sasa hivi ni rahisi kuliko zamani? Kama umeshindwa kuelewa hilo unayo haki ya kuniita mbulula bibie Claudia Eliakimu.
 
Jaribu kufikiria kwa mapana zaidi, acha uvivu wa kufikiri. Ina maana kwa kusoma hicho kifungo kama kilivyo ndo uwezo wako wa kufikiri umefika ukomo?
Sisiemu wanapenda sana vilaza kama wewe!


Kilaza mwenyewe ungekua na jipya ungeweka mezani tuka-debate na sio kupiga kelele wewe mwenyewe hujielewi mahali ulipo mpaka sasa unapelekwapelekwa na hizo akili zako za kushikiriwa.
 


Nashangaa bado jirani zako hawajakuitia ambulance ukapelekwa Muhimbili au Milembe kupimwa akili, haiwezekani nabishana na mtu ambaye ni Abnormal, internet era imeanza zamani sana kwa developed countries ila kwako umeipokea juzi tu tena hata shule yenyewe ya kuungaunga hapo ulipo, kismu chenyewe umekopa hela ununue ili japo uingie FB na JF sasa leo unajifanya mjanja digital revolution sio kila kitu we mburula tumia akili!
 

maneno mengi akili sifuri!
 
Jaribu kufikiria kwa mapana zaidi, acha uvivu wa kufikiri. Ina maana kwa kusoma hicho kifungo kama kilivyo ndo uwezo wako wa kufikiri umefika ukomo?
Sisiemu wanapenda sana vilaza kama wewe!

umetumwa wewe na ukawa, nakushauri ukasome katiba inayopendekezwa uilewe, hata kama utapiga kura ya hapana, hako kakura chako hakatazuia katiba hii kupita we fahamu hilo kwamba unapoteza haki yako ya bureee, hii itapita na itakusaidia wewe na utaieshimu kama kawaida! Hilo huwezi kubisha.
 
hizi ID za march ni mwendelezo wa Lumumba Buku saba....zinaanzisha utitiri wa nyuzi na kuanza kutetea.....

umetumwa wewe na ukawa, nakushauri ukasome katiba inayopendekezwa uilewe, hata kama utapiga kura ya hapana, hako kakura chako hakatazuia katiba hii kupita we fahamu hilo kwamba unapoteza haki yako ya bureee, hii itapita na itakusaidia wewe na utaieshimu kama kawaida! Hilo huwezi kubisha.
 

maneno mengi akili sifuri!
claudiaeliakimu aka USISAHAU KUNICHUKIA nimekuelewa wewe ni mtu wa aina gani na wengine wenye maarifa pia watakuwa wamekuelewa katika ID zako zote. Kwa heri, hiki kisimu changu cha kukopa kisije ishiwa charge
 
Last edited by a moderator:
claudiaeliakimu aka USISAHAU KUNICHUKIA nimekuelewa wewe ni mtu wa aina gani na wengine wenye maarifa pia watakuwa wamekuelewa katika ID zako zote. Kwa heri, hiki kisimu changu cha kukopa kisije ishiwa charge

UNA KAZI KWELI YA KUKARIRI IDs ZA WATU, ENDELEA NA KAZI HIYO UKAWA WATAKULIPA MSHAHARA KWA KAZI HIYO, LAKINI UNAONEKANA HUNA KAZI KWELI, BASI MI NAKUPA KAZI UISOME KATIBA INAYOPENDEKEZWA KISHA UJE NA HOJA ZENYE MANTIKI KULIKO KUPOTEZA MUDA KWA KUKARIRI IDs
 

Kumbe na hii ID nawe upo? Sikiliza mtu makini anapofanya mjadala na mtu ni lazima achunguze hao anaofanya nao mjadala. Wewe nawe pia pamoja na hayo majina niliyoyataja yakiniandama na kuniita majina ya ajabu wote mmejiunga tarehe 15/3/2015, hapo hata mtoto mdogo ataelewa.
Acha kabisa tabia za kitoto hizo, unajiunga na JF kwa malengo hayo? Wewe ndio huna kazi ya kufanya. Sie wengine toka enzi hizo JF ni sehemu ya burudani na kujifunza tusiyoyajua.
 

kwani kujiunga zamani sasa kuna ubaya gani? huna sera wewe ukalale tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…