2013 sasha
Senior Member
- Oct 22, 2014
- 112
- 4
jiformat kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa bila kuwepo kwa kipengele cha maadili kwenye katiba utawezaje kuwa na good economic base? Hasa kwa kuangalia uongozi wa kisiasa tulionao leo?
jiformat kwanza
hizi ID za march ni mwendelezo wa Lumumba Buku saba....zinaanzisha utitiri wa nyuzi na kuanza kutetea.....
Kumbe na hii ID nawe upo? Sikiliza mtu makini anapofanya mjadala na mtu ni lazima achunguze hao anaofanya nao mjadala. Wewe nawe pia pamoja na hayo majina niliyoyataja yakiniandama na kuniita majina ya ajabu wote mmejiunga tarehe 15/3/2015, hapo hata mtoto mdogo ataelewa.
Acha kabisa tabia za kitoto hizo, unajiunga na JF kwa malengo hayo? Wewe ndio huna kazi ya kufanya. Sie wengine toka enzi hizo JF ni sehemu ya burudani na kujifunza tusiyoyajua.
Umeshazidiwa na hoja zako mfu unaanza kulialia humu ndani ili uonewe huruma!
wala haunipi shida kwa kuwa haujielewi na haujui unalolifanya najua utaendelea kusema unayoyawaza akilini mwako lakini ukweli utabaki pale pale, inaelekea uko miongoni mwa wale wavivu wa kusoma,ungekua umeisoma katiba inayopendekezwawewe masikini wa fikra,kibaraka wa mafisadi ,mchumia tumbo uliyekubuhu...unatetea rasimu ya chenge kwa kujitoa ufahamu eti hufahamu kwanini watu wanapinga rasimu ya chama...barbarian.
tumeamua kuwekeza kwenye uchumi wa kisiasa... I say no to katiba mpya
hili katiba lenu mpya halina tofauti na ramli ya waganga wanaodai viungo vya albino
una haki ya kuchagua mwenyewe pa kuwekeza lakini sio kulichagulia taifa na watanzania na hizo fikra zako mufirisi,huna jipya na huijui dhana ya uwekezaji na hata hiyo siasa unayoisema huielewi unawaza kupinga kila kitu mpaka unajipinga mwenyewe na akilini zako za kushikiwa.
You missed a mickey out of my post!!
Actually i was questioning the reason ya kuwekeza kwenye political economy!! and I say NO!! to katiba pendekezwa
Hatuko tayari, we have lots of moving parts and there not even a single sign that we can synchronize any of them, afterall our experience with leadership transition shows that apart from it being peaceful, there is nothing else
Hayo ya Fikra mufilisi nakuachia wewe na upeo kimini!! As for uwekezaji, wanaonijua humu JF watakambia...
And wait, nimewachagulia watu/watanzania nini??? those were my eprsonal opinion, I stand on my feet sio wewe unayetumwa huku kuja kulesha shoddy messages ambazo hata wewe mwenyewe huzielewi...
uganga wako wa kienyeji hauna nafasi humu lete hoja acha kufyatuliwa.
wala haunipi shida kwa kuwa haujielewi na haujui unalolifanya najua utaendelea kusema unayoyawaza akilini mwako lakini ukweli utabaki pale pale, inaelekea uko miongoni mwa wale wavivu wa kusoma,ungekua umeisoma katiba inayopendekezwa
ungeleta hoja tukapambana nakuacha kuropoka hueleweki na kama umetumwa waambie waliokutuma wajipange upya
Inaonekana Huna Akili hata Chembe hata Mawazo yako finyu sana
wewe endelea kutetea rasimu maslahi kwa kuwa ndiyo umekuja hapa kwa ID Mpya na kazi maalum..kufikiria kwa tumbo ni kubaya sana...wazia vizazi vijavyo..sio kwenda chooni kesho na keshokutwa...mnang`ang`ania vitu visivyonaulazima...haraka ya nini wakati mambo ya msingi mmeyatoa?..BVR Njombe tu imewashinda na bado mnang`ang`aniza April kupiga kura..Nec wenyewe wameshashtukia uwezekano mkubwa wa zoezi kukwama...ila kwa kuwa watetea tumbo lako.endelea kung`ang`ania upate maslahi..
mkuu,kuna ID nyingi zimejiunga mwezi huu wa march kwa kazi maalum ya kufanikisha katiba inaungwa mkono hapa jamvini..lengo ionekana rasimu ya Chenge inaungwa mkono na watu wengi .Sasa wameshtukiwa ..wanachofanya hawa ''march madness'' ni kuja na utetezi wa lete hoja ilimradi tu waendelee kulipwa...
hata UNGEKUA I'd ya zamani KWA using a UNAONGEA ingekupinga tu,unambiguous LETE HOJA ya musings unalopoka UNABAKI kwenye minor thing, nimeshakuambia JF SIO YAKO peke YAKO NA ndio kwanza Leo ujue, WATANZANIA kibao wanaingia NA kuchangia, ulitaka unayoyaongea NDIO yaprevail HUMU? UONGO wako NA majibu yako ya kukurupuka yaachwe bila kujibiwa? HIYO si JF ninayoijua Mimi Kama huwezi join
forum nyingine.
endelea kutetea maslahi yako..maana hiyo ndiyo kula yako..lakini dhambi hii ya kutetea rasimu ya chenge itakuandama wewe mpaka kaburini...
NIMEGUNDUA HUMU KUNA WATU VILAZA KWELI.KWANI JF UNAINGIA KUFANYA SHOPPING? Huku NI HOJA Kama umeishiwa tembea ACHA kulialia kutafuta HURUMA haha ha ha ha