Ndiyooooooooo kwa Katiba pendekezwa!!!!!!!!

Ndiyooooooooo kwa Katiba pendekezwa!!!!!!!!

Std7 failures go back to school, maana hata kusoma,kuandika na kuhesabu (3R's ua K3)inaoneka bado hjui vizuri.


Unaongea non sense umeamka usingizini na wewe unarukia mada usiyojua imetoka wapi unaleta vitisho vya elimu yako hapa JF kwa taarifa yako hatuihitaji peleka kwa familia yenu ikawasaidie na unaonekana wewe ni mchoyo huna mchango wowote kwa wazazi wako kula kulala!
 
Unaongea non sense umeamka usingizini na wewe unarukia mada usiyojua imetoka wapi unaleta vitisho vya elimu yako hapa JF kwa taarifa yako hatuihitaji peleka kwa familia yenu ikawasaidie na unaonekana wewe ni mchoyo huna mchango wowote kwa wazazi wako kula kulala!

Pole sijajua dawa imekuingia Std7, vumilia kwani ulitaka mwenyewe.
Ila nivema ukazingatia ushauri wangu,ujitahidi ili ufike shule za kata.
 
Pole sijajua dawa imekuingia Std7, vumilia kwani ulitaka mwenyewe.
Ila nivema ukazingatia ushauri wangu,ujitahidi ili ufike shule za kata.

Huna kitu na unaonekana empty mind that's why uko na minor things hujielewi, mpaka sasa sijui unataka nini na una hoja gani? Au unataka kuongeza post tu humu ndani?
 
Huna kitu na unaonekana empty mind that's why uko na minor things hujielewi, mpaka sasa sijui unataka nini na una hoja gani? Au unataka kuongeza post tu humu ndani?

Haaa bado hujajua ninataka nini kwako? Ninyi ndiyo mnawasababishia watu wengine kutenda dhambi kwa kuuliza maswali yenye tungo tata.

Ukweli sitaki kitu toka kwako, ila uaeche kutumika na WENZAKO kwani ni dhambi.
 
Haaa bado hujajua ninataka nini kwako? Ninyi ndiyo mnawasababishia watu wengine kutenda dhambi kwa kuuliza maswali yenye tungo tata.

Ukweli sitaki kitu toka kwako, ila uaeche kutumika na WENZAKO kwani ni dhambi.

Hujajua kanuni ya kutenda dhambi wewe kila mtu anatenda kimpango wake na anajaribiwa na tamaa zake mwenyewe acha siasa, sina nafasi ya kumsababisha mtu atende dhambi na sina muda huo, tenda dhambi afu uone siku ya kiama kama hautahukumiwa mwenyewe!
 
CCM ndo chama Tawala unapoongea jitahidi kuja na suluhisho kuliko kukalia kuongea ndimu sijui nini mbona hatukuelewi kijana?

hata RAIS JONATHAN analitambua hilo kuwa yeye alikuwa KIONGOZI CHAMA TWAWALA NIGERIA. now amekubali kuinama. kwahiyo na nyinyi MAFISADI CCM jiandaeni kuinamishwa. anzeni mazoezi sasa. ili msipate tabu ya kuinama.
 
Usiwe na tabia kama mamba, baba mzima na ndevu kibao hutaki kujiheshimu uwe na staha kwa wana JF wenzio ndio ustaarabu.

ntakuheshimu kama ukianza kutambaa na kuita BABA! BABA! AFU KISHA UJITAMBUE
 
Tundu Lissu:-
Wanafki waseme ndio

Jibu ni kichwa cha thread
 
Tundu Lissu:-
Wanafki waseme ndio

Jibu ni kichwa cha thread

Unafiki hautafikisha malengo ya nchi popote. Tanzania tuna asili ya kujali utu, amani, upendo, ukarimu vitu ambavyo nchi yetu inaviheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu. Hatuna budi kumshukuru Mungu kwa lulu hii angavu nchini.


Hekima ya Mungu ni ya muhimu, lakini nasi kama Watanzania tuache ushabiki ambao hauna manufaa kwa nchi yetu, tuzingatie msingi wa kuheshimiana. Mabadiliko ya utunzaji wa amani yanzie kwetu ili kuendeleza tunu ya amani iliyoasisiwa na Wazee wetu J.K. Nyerere na Abeid Aman Karume.
 
Back
Top Bottom