Ftari hio na ramadhani yaja...Hapo upate na samaki wa kukaanga au nyama ya mbuzi ya kukausha burudani!!
Nazi ya dukani vip itaworkout.?
Yummy yummy...... Hii naipika kesho
Hii mpya sijawahi sikia i will try though
Chakula nikipendacho hiki
Tamu eeeh za kukaanga je unapenda?
Za kukaanga pia napenda, hizo sasa nikichelewa kuamka nakaanga faster na chai ya tangawizi nimemaliza
Uzipatie na sausage basi na tomato ketchup juu