Ndizi mbivu za nazi

Ndizi mbivu za nazi

Mahitaji

Ndizi zilozowiva (mkono wa tembo au mzuzu) 4-5

Hiliki nusu kijiko cha chai

Sukari 1 tablespoon (sio lazima)

Tui bubu kiasi

Tui jepesi kiasi


Custard kijiko kimoja cha kulia

Namna ya kutaarisha

Osha vizuri ndizi na zikate sehem nne

Toa moyo (ule mstari wa kati ya ndizi)

Panga kwenye sufuria

Weka tui jepesi ila lisifunike ndizi

Weka hiliki kwa juu

Subiria ikichemka weka tui bubu

Karibia kuepua changanya custard na maji kidogo mimina katika ndizi

Acha ichemke dakika 5 alafu epua

Note:upishi huu haukirogwi bali tu kutikisa sufuria taratibu vichanganyike

View attachment 259039View attachment 259040View attachment 259041

Da farkhina hivi custard kwa kule kwetu uswahili ni nini?nimeona maelezo yake kwa kingereza"sweetened mixture of milk and eggs baked ,boiled or frozen ". Sasa nimejaribu kuvuta picha kikwetu kwetu hii twaweza ifananisha na nini?au yaweza kuandaliwa kabla?if YES then unaiandaaje?
 
Last edited by a moderator:
Da farkhina hivi custard kwa kule kwetu uswahili ni nini?nimeona maelezo yake kwa kingereza"sweetened mixture of milk and eggs baked ,boiled or frozen ". Sasa nimejaribu kuvuta picha kikwetu kwetu hii twaweza ifananisha na nini?au yaweza kuandaliwa kabla?if YES then unaiandaaje?
Ndg.Mpendwa mbona hiyo Custard zipo madukani tele (ni unga/powder wa viazi vitamu,dengu mchanganyiko nk rangi ya njano au orange color) Hutumika kufanya rojo kama cream ya mapishi tamu tamu Huepo ndani ya kikopo
 
Mahitaji

Ndizi zilozowiva (mkono wa tembo au mzuzu) 4-5

Hiliki nusu kijiko cha chai

Sukari 1 tablespoon (sio lazima)

Tui bubu kiasi

Tui jepesi kiasi


Custard kijiko kimoja cha kulia

Namna ya kutaarisha

Osha vizuri ndizi na zikate sehem nne

Toa moyo (ule mstari wa kati ya ndizi)

Panga kwenye sufuria

Weka tui jepesi ila lisifunike ndizi

Weka hiliki kwa juu

Subiria ikichemka weka tui bubu

Karibia kuepua changanya custard na maji kidogo mimina katika ndizi

Acha ichemke dakika 5 alafu epua

Note:upishi huu haukirogwi bali tu kutikisa sufuria taratibu vichanganyike

View attachment 259039View attachment 259040View attachment 259041
Shukraan Swahibaty !!
BarakaAllahfiki...
 
Da farkhina hivi custard kwa kule kwetu uswahili ni nini?nimeona maelezo yake kwa kingereza"sweetened mixture of milk and eggs baked ,boiled or frozen ". Sasa nimejaribu kuvuta picha kikwetu kwetu hii twaweza ifananisha na nini?au yaweza kuandaliwa kabla?if YES then unaiandaaje?

Zipo madukani tayar zimeshatengenezwa ulizia unga wa custard tu utapatiwa wengine pia huwapikia uji wa custard watoto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom