Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*Mtoto alikua akibishana na baba yake akisema 1+1=11, baba akamwangalia kisha akasema vizuri sana,akamtuma kununua mayai mawili,mtoto akaenda kununua,aliporudi akamwambia nipe moja lingne mpe kaka yako,wakaendelea kula,mtoto akauliza Mimi nakula nini? Baba akajibu kula tisa yaliobaki mjinga wewe*
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]