Ndo itakuwa mwisho wa binadamu?

Ndo itakuwa mwisho wa binadamu?

JMF

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
1,758
Reaction score
2,770
Salaam wana JF,

Nimekaa nikatafakari sana juu ya asili ya maisha ya mwanadamu kuanzia tabia, lugha na utashi. Nikajipa jibu mimi mwenyewe huenda nikutokana na kurithi kutoka kwa wazazi wetu, jamii inayotuzunguka na mazingira. Sasa swali likanijia kuwa kama ndivyo hivyo, je? Watu wote wazima wakiwa extincted na wakabakia watoto wachanga chini ya mwaka mmoja ambao obvious watakuwa exposed katika mazingira ya kawaida ya sasa kama yalivyo, ni nini kitatokea?
NB:Tu assume na wanyama pia wasiwepo wakubwa, bali vichanga.

Karibuni wanajukwaa la intelligence .
 
Assumption inabaki kuwa assumption kwa sababu haitatokea watu wakabakia watoto.
 
Wakibaki vichanga, wote jamii ya wanyama, unadhani watakula na kunyonya vipi,...!? Zinamaanisha watakufa.

Sijui labda umeiweka dhana yako vibaya, labda atujajua unachomaanisha...

Kumbuka chimbuko la MWANA ADAM, ni Adam na Hawa.
 
Hebu Fikiri vema na ufanye sahihisho ulicho andika hakieleweki
 
Salaam wana JF,

Nimekaa nikatafakari sana juu ya asili ya maisha ya mwanadamu kuanzia tabia, lugha na utashi. Nikajipa jibu mimi mwenyewe huenda nikutokana na kurithi kutoka kwa wazazi wetu, jamii inayotuzunguka na mazingira. Sasa swali likanijia kuwa kama ndivyo hivyo, je? Watu wote wazima wakiwa extincted na wakabakia watoto wachanga chini ya mwaka mmoja ambao obvious watakuwa exposed katika mazingira ya kawaida ya sasa kama yalivyo, ni nini kitatokea?
NB:Tu assume na wanyama pia wasiwepo wakubwa, bali vichanga.

Karibuni wanajukwaa la intelligence .
Rudia uandike vizuri tukuelewe
 
Back
Top Bottom