Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii misemo huwa naichukia aise, cjui mpumbavu gani kaileta!!.Vumilia tu mkuu,
Haki ya mtu hua haipotei bali huchelewa tu.
unyama ubwelaHapa dunian unyama unyama au sio
Andika wewe msemo wako au ushauri wako kwa mleta mada ili tukusome,Hii misemo huwa naichukia aise, cjui mpumbavu gani kaileta!!.
Sasa ikiwa Giza ndilo chanzo Cha wewe kuwa matatizoni,Hapana si changanyikiwa bali ndo uhalisia
Kwani wewe ndie mtunzi wa msemo huu?, au ujaelewa nilichokiandika mkuu?Andika wewe msemo wako au ushauri wako kwa mleta mada ili tukusome,
JF ni jukwaa huru,kila mtu anatoa mawazo yake,hatupangiani na wala hatufanani.
Mdharau Asili hufa kikatili.
Tafuta sehemu yenye utulivu sana pafanye papendeze kwaharufu nzuri naiwe kanakwamba unawageni unawakalibisha.
Kaa kitako mkao mmoja utakao kufanya uwe relax sana.
Omba kwa lugha ya kwenu omba kanakwamba unacho kiomba unakiona nahauna shaka kinakuskia.
Yani nikiwa namaana kwamba hisia zako ziwe kubwa kanakwamba unae mpa mararamiko yako unamuona na anakuskia kwa umakini sana.
Toa machozi kwamuda usio pungua dakika25 ukiomba haki unayo dhani unastahili kabisa kuipata.
Utanishukuru sana.
Lugha ya kwetu siijuiMdharau Asili hufa kikatili.
Tafuta sehemu yenye utulivu sana pafanye papendeze kwaharufu nzuri naiwe kanakwamba unawageni unawakalibisha.
Kaa kitako mkao mmoja utakao kufanya uwe relax sana.
Omba kwa lugha ya kwenu omba kanakwamba unacho kiomba unakiona nahauna shaka kinakuskia.
Yani nikiwa namaana kwamba hisia zako ziwe kubwa kanakwamba unae mpa mararamiko yako unamuona na anakuskia kwa umakini sana.
Toa machozi kwamuda usio pungua dakika25 ukiomba haki unayo dhani unastahili kabisa kuipata.
Utanishukuru sana.