Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAN iko njiani tena iko na kasi, hawezi jituliza.Kuwa makini tu kwa hii ID kwani hata hii nayo ukiingia Kichwa Kichwa ( katika 18 za Watu ) nayo itapigwa BAN kama ile.
Wenye Akili tumeshamshtukia Kitambo sana. Kutwa wanaacha Kujadili Mada, wao wako Kumtukana tu GENTAMYCINE.BAN iko njiani tena iko na kasi, hawezi jituliza.
Ni nani kwani🤣BAN iko njiani tena iko na kasi, hawezi jituliza.
Karibu mkuu katika ulimwengu wa matajiri na maafisa vipenyo,Kila mtu humu ni mtaalam na ana uwezo mkubwa kiakili hakuna kilaza!Habari ndo mara yangu ya kwanza kutumia jf nimeikubali naamini hakuna utengano ,
Asanteeeeh
đź’Ż sawa mtaalam , tajiri nimeelewa vp mlikua mkitegemea ujio wangu au maana huu upokeaji wa ajabuKaribu mkuu katika ulimwengu wa matajiri na maafisa vipenyo,Kila mtu humu ni mtaalam na ana uwezo mkubwa kiakili hakuna kilaza!
Na wewe unatakiwa uwe hivyo hivyo!
Vp nibadili id au unamaana gani🙄Kuwa makini tu kwa hii ID kwani hata hii nayo ukiingia Kichwa Kichwa ( katika 18 za Watu ) nayo itapigwa BAN kama ile.
Kuwa tu makini kwani kuna wengine ukiwatishia tu Kujamba basi Wao huamua Kunya / Kuukweka kabisa sawa Mkuu?Vp nibadili id au unamaana gani🙄
Mbona kama unanitisha hvi vipi jina hli linaugomvi na wewe maana sjafanyakibaya mbnaKuwa tu makini kwani kuna wengine ukiwatishia tu Kujamba basi Wao huamua Kunya / Kuukweka kabisa sawa Mkuu?
Biti muhimu kwa Wageni.Mbona kama unanitisha hvi vipi jina hli linaugomvi na wewe maana sjafanyakibaya mbna