una umrii gan kaka?
pole sana
uyo ashakumwaga
ata km bf kakuboa lakin km unampenda huwez ukanuna siku nzima lazima utamkumbuka tu na nguvu ya mapenz ni kubwa yashnda hata maudhi aliyokufanyia
apo hakuna lolote, tena km ivi upo mbali dah angekuwa yupo hi hi kwenye kujibu msg au call zako
umbali wenu umemfanya mwezako atafute wa karibu na ivi sasa ana do the nidful so wewe unamletea kiwingu tu na alikuwa anatafuta sababu ya kukukimbiza so ulivyomchokoza ndo akatumia mwanya uo
FIMBO YA MBALI....tafuta mwingne mwaya.......
m a gal i knw thst knd of swaga.........
HAKUPEND+ANA MWNGNE=SEPA FASTA ,
TAFUTA MWNGNE.
POLEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!1