Ndo napigwa chini nini?

Ndo napigwa chini nini?

Mbona inaonekana kama vile anakupiga kibuti kidiplomasia
 
tafuta wa kukuchangamsha.

kweli we ni raia fulani tu!!!!! maana ushauri wako ni balaa tupu, wadada huwa tunashabiriana kitabia sana na kwa sisytem hiyo labda huyo wa kumchangamsha awe si wa jinsia sawa na ile ya GF wake
 
Ah mi naona nawe mpe muda akae kivyake usimpigie cmu wala nini. Kama anatishia kumwaga mboga na wewe kamata sahani ya ugali. Majeraha ya mapenzi yapo kila mahali na hata mkioana yanakuwa yapo bado. Kuna wa2 hawaongei hata week 1 na wanalala chumba kimoja. Kama akiuchuna mwanzo mwisho basi mpwa vumilia na tafuta mwingine! Kule musoma kule kama hujampiga mke humpendi! Pole kaka.
 
una umrii gan kaka?
pole sana
uyo ashakumwaga
ata km bf kakuboa lakin km unampenda huwez ukanuna siku nzima lazima utamkumbuka tu na nguvu ya mapenz ni kubwa yashnda hata maudhi aliyokufanyia
apo hakuna lolote, tena km ivi upo mbali dah angekuwa yupo hi hi kwenye kujibu msg au call zako
umbali wenu umemfanya mwezako atafute wa karibu na ivi sasa ana do the nidful so wewe unamletea kiwingu tu na alikuwa anatafuta sababu ya kukukimbiza so ulivyomchokoza ndo akatumia mwanya uo
FIMBO YA MBALI....tafuta mwingne mwaya.......
m a gal i knw thst knd of swaga.........
HAKUPEND+ANA MWNGNE=SEPA FASTA ,
TAFUTA MWNGNE.
POLEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!1
 
una umrii gan kaka?
pole sana
uyo ashakumwaga
ata km bf kakuboa lakin km unampenda huwez ukanuna siku nzima lazima utamkumbuka tu na nguvu ya mapenz ni kubwa yashnda hata maudhi aliyokufanyia
apo hakuna lolote, tena km ivi upo mbali dah angekuwa yupo hi hi kwenye kujibu msg au call zako
umbali wenu umemfanya mwezako atafute wa karibu na ivi sasa ana do the nidful so wewe unamletea kiwingu tu na alikuwa anatafuta sababu ya kukukimbiza so ulivyomchokoza ndo akatumia mwanya uo
FIMBO YA MBALI....tafuta mwingne mwaya.......
m a gal i knw thst knd of swaga.........
HAKUPEND+ANA MWNGNE=SEPA FASTA ,
TAFUTA MWNGNE.
POLEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!1

Duh!! Kumwagana kwingine bana wahitaji moyo sana hapo jamaa anamwagwa mdogo mdogo huku akimbiwa hakuna tatizo
 
I just yelled at her n told her to quit (I was angry and had stresses by the moment.) bcoz she didn't show to care, she'z so lazy on answering my messages.
Tatizo letu ni kwamba yeye ni mvivu sana wa kujibu msg'z zangu n we are far apart, na ninapomuuliza anasema nachukulia mambo so lite.

Kwa taarifa yako wewe unafanywa ni spair tyres (spea tairi), matumizi yako ni mpaka siku akipata pancha (akiwa na shida). Naongea kutokana na uzoefu. Wee ukiona hujibiwi sms au simu zako basi ujue kuna mwenzio anapewa hiyo huduma. Fanya taratibu uanze mbele, usishangae siku ukaambiwa you are not my type
 
I just yelled at her n told her to quit (I was angry and had stresses by the moment.) bcoz she didn't show to care, she'z so lazy on answering my messages.
Tatizo letu ni kwamba yeye ni mvivu sana wa kujibu msg'z zangu n we are far apart, na ninapomuuliza anasema nachukulia mambo so lite.

Far aprt.?.lazy answering sms..taking things so lite...??I m inclined to tip u to hit the street 4 another catch...!!
 
Nawe una makosa kama unajua unampenda ilikuwaje ukamfanyika kosa mbaya? kumbe unajua machungu ya kuachwa sasa kamwombe msamaha kama huna ujasiri kubali kuachia ngazi wape wenzio wanaojua kutunza mwanamke we endelea na tamaa zako. Siku ukimwona mwezio anakula naye raund ndo utaona uchungu.
 
Back
Top Bottom