The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
You still have a long way to go kaka.....ukiruhusu kuchakachuka na la huyu... hao wajao watakumaliza kabisa........ ni njia ya maisha kila mmoja almost kila mmoja anapitia so kaza but .........fall in love but take your brain with you
:smile::smile::smile::smile:
tafuta wa kukuchangamsha.
una umrii gan kaka?
pole sana
uyo ashakumwaga
ata km bf kakuboa lakin km unampenda huwez ukanuna siku nzima lazima utamkumbuka tu na nguvu ya mapenz ni kubwa yashnda hata maudhi aliyokufanyia
apo hakuna lolote, tena km ivi upo mbali dah angekuwa yupo hi hi kwenye kujibu msg au call zako
umbali wenu umemfanya mwezako atafute wa karibu na ivi sasa ana do the nidful so wewe unamletea kiwingu tu na alikuwa anatafuta sababu ya kukukimbiza so ulivyomchokoza ndo akatumia mwanya uo
FIMBO YA MBALI....tafuta mwingne mwaya.......
m a gal i knw thst knd of swaga.........
HAKUPEND+ANA MWNGNE=SEPA FASTA ,
TAFUTA MWNGNE.
POLEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!1
I just yelled at her n told her to quit (I was angry and had stresses by the moment.) bcoz she didn't show to care, she'z so lazy on answering my messages.
Tatizo letu ni kwamba yeye ni mvivu sana wa kujibu msg'z zangu n we are far apart, na ninapomuuliza anasema nachukulia mambo so lite.
I just yelled at her n told her to quit (I was angry and had stresses by the moment.) bcoz she didn't show to care, she'z so lazy on answering my messages.
Tatizo letu ni kwamba yeye ni mvivu sana wa kujibu msg'z zangu n we are far apart, na ninapomuuliza anasema nachukulia mambo so lite.