Ndoa baada ya kupeana mimba imekaaje?

Ndoa baada ya kupeana mimba imekaaje?

mkuu miaka ya leo ujauzito ni lulu, 7bu kubwa ni wadada wenyewe kuzitoa hizo mimba kabla ya kuwekwa ndani...
vipimo vya kitabibu vinatoa majibu sahihi, tatizo watabibu wananunulika sana hii inasababisha wanaume wanaingia maabara wenyewe kufanya hizo test...
Isiwe ya kusingiziwa lakini,DNA vipi?
 
Wengi wa wanandoa wapya siku hizi wanaingia kwenye hiyo taasisi baada ya kupeana mimba "kutest zali", kitu ambacho huko nyuma haikuwa hivyo.Na wengi walioana wakiwa 'bado" hawajaivunja ile amri.Siku hizi vipi?Au ndo utandawazi?

Wonders of the world dynamism!
 
Back
Top Bottom